Nimegundua wabunge hawasomi bajeti ndio maana wanahoji pesa za mikopo kipindi Cha Magufuli zilienda wapi?

Bajeti Waziri wa Fedha hubeba kila kitu na kuwa itakuwa financed vipi

Nimegundua Kuna Shida Mfano Nape anasema ohhh si mlisema Serikali mambo yote mnafanya kwa hell za ndani?

Hivi kipindi Cha bajeti Waziri wa Fedha aliposoma alikuwa kala au? Sababu financing ya bajeti huonesha wazi kila kitu

Spika, Nape anapokea posho bure mikopo mnaidhinisha mkipitisha bajeti kuwa sehemu ya financing halafu baadaye mlaleta miyowe eti ohh Bunge hakikupitisha, stupid you

Kwa hiyo miaka yote mitano alikuwa anabweka tu ndiyoooo bajeti ipite wakati hajui hata kilichomo? Kuwa Kuna mikopo mle!
Kiukweli kule mjengoni majority ni darasa la 7 hawana uwezo wa kusoma mavitabu makubwa ya budget mbaya zaidi sometimes yameandikwa kwa lugha malkia hapo hata kufungua hawatafungua na wale wachache wenye uwezo hawana muda wao wako bize na mambo yao wasubiri kuhojiwa kifungu kwa kifungu waitike ndiyooooo!
 
Kipimo Cha ubwege bungeni Ni Nape Nnauye ukisena ohh mbunge wetu bwege uliza Ni bwege Kama Nape Nnauye asiyesoma bajeti ya waziri wa fedha kwa miaka mitano asiyejua mle ndani mna mikopo na akaipitisha?
Nafkiri Nape asizodolewe sana, maana at some point ana hoja, mimi hoja yake niliyoiyona ni alipotahadharisha kuhusu uchukuaji wa mikopo zaidi ya 40% ya kibiashara, tunavyoelewa mikopo ya kibiashara riba zake ni kubwa na mkopo unaiva mapema kuanza marejesho.hivyo inaumiza ni mikopo tofauti kama ya taasisi e.g.IMF,WB,AFDB ,nchi wahisani etc ambayo kuiva kwake ni kwa muda mrefu na riba ni ndogo sana japo inasemekana inakaurasimu kidogo na masharti ni mengi.so hapo ni angalizo lenye hoja.suala la pili ni alilosema marejesho kwa mwezi ni makubwa (namquote 800b-sina hakika) hilo pia ni angalizo zuri kwenye masuala ya fiscal,kwani kama marejesho yatakuwa makubwa,bado mishahara na matumizi mengine ,lazima itaathiri mfumo wa uendeshaji.kwa hiyo kuna mambo ambayo ni hoja hivyo tusubiri kauli ya serikali, lakini uzuri walishasema kuwa deni ni "himilivu' na tuna wataalami wizara ya fedha na uchumi ambayo kila siku ndio majukumu yao.
 
Bajeti Waziri wa Fedha hubeba kila kitu na kuwa itakuwa financed vipi

Nimegundua Kuna Shida Mfano Nape anasema ohhh si mlisema Serikali mambo yote mnafanya kwa hell za ndani?

Hivi kipindi Cha bajeti Waziri wa Fedha aliposoma alikuwa kala au? Sababu financing ya bajeti huonesha wazi kila kitu

Spika, Nape anapokea posho bure mikopo mnaidhinisha mkipitisha bajeti kuwa sehemu ya financing halafu baadaye mlaleta miyowe eti ohh Bunge hakikupitisha, stupid you

Kwa hiyo miaka yote mitano alikuwa anabweka tu ndiyoooo bajeti ipite wakati hajui hata kilichomo? Kuwa Kuna mikopo mle!
Nape ametaka uwazi ili wananchi wajue hio mikopo ya mwenda zake imetumikaje kama mkopo wa 1.3trln wa mama samia tulivyowekwa wazi,
Unataka na mwananchi wa Tandahimba nae achambue budget,
Nape kauliza kwa maslah ya wananchi hasa wapiga kura wake
 
Nape anahoji kiasi cha mikopo hakilingani na thamani ya miradi iliyotekelezwa lakini ni huyu huyu pia snasema JPM angeongezewa mitano tena siasa ni kamari
 
ye kahoji km matumizi ya pesa yaliendana na uhalisia wa miradi husika sasa bajeti hapo itakusaidiaje kujua? hapa mkaguzi ndo atufahamishe
Kwani mkaguzi alikuwa wapi kuhojiwa kwenye ripoti zake za bunge muda wote huo kuhusu mikopo kupanda?
 
Asante mtetezi wa Jimbo la kijani🤸.
... picha inayokuja ni limtu linalotoka mijasho, kikwapa na kutokwa povu!
1f605.png
 
Bajeti Waziri wa Fedha hubeba kila kitu na kuwa itakuwa financed vipi

Nimegundua Kuna Shida Mfano Nape anasema ohhh si mlisema Serikali mambo yote mnafanya kwa hell za ndani?

Hivi kipindi Cha bajeti Waziri wa Fedha aliposoma alikuwa kala au? Sababu financing ya bajeti huonesha wazi kila kitu

Spika, Nape anapokea posho bure mikopo mnaidhinisha mkipitisha bajeti kuwa sehemu ya financing halafu baadaye mlaleta miyowe eti ohh Bunge hakikupitisha, stupid you

Kwa hiyo miaka yote mitano alikuwa anabweka tu ndiyoooo bajeti ipite wakati hajui hata kilichomo? Kuwa Kuna mikopo mle!
Wote waliobaki ni wa NDIYOOO. Wale wengine walituchelesha maendeleo. Kuhusu kulala wakati wa mijadala ya bunge, hata speaker Ndugai aliwahi kukiri kwamba kuna mswada ambao ulipitishwa kuwa sheria yeye akiwa kwenye kiti, lakini hajui ulipitishwaje (nadhani alikua amelala).

Kidumu chama cha mapinduzi.
 
Haya makalele Huku mtandaoni hayasaidii. Weka hesabu mezani.
Kumbuka numbers don’t lie
 
Mtu yeyote ukitaka kujua Kuna wabunge mbumbumbu bungeni kipimo Cha u mbumbumbu Ni mbunge Nape Nnauye
Wapo wengi tu mle bungeni. Bunge limebaki halina hoja. Kuna mbunge mmoja alitoa hoja kwamba, bunge liunde "chombo cha kuisimamia serikali" Huyo ni mbunge hajui yuko bungeni kwa kazi gani. Hao ndiyo waliopitishwa na mwendazake bila kupingwa na wengine wakatangazwa kinyume cha sanduku la kura.

Hadi kufikia 2025 tutaona na kusikia mengi.
 
ye kahoji km matumizi ya pesa yaliendana na uhalisia wa miradi husika sasa bajeti hapo itakusaidiaje kujua? hapa mkaguzi ndo atufahamishe
Hakika Nape anahoji matumizi. CAG atatusaidia kuhusu matumizi ya hizo budgets, kama Prof. Asaad alivyoliweka wazi kuhusu kutoonekana matumizi ya 1.5 Trillions. Nape yuko sahihi.

Cc YEHODAYA
 
Bajeti Waziri wa Fedha hubeba kila kitu na kuwa itakuwa financed vipi

Nimegundua Kuna Shida Mfano Nape anasema ohhh si mlisema Serikali mambo yote mnafanya kwa hell za ndani?

Hivi kipindi Cha bajeti Waziri wa Fedha aliposoma alikuwa kala au? Sababu financing ya bajeti huonesha wazi kila kitu

Spika, Nape anapokea posho bure mikopo mnaidhinisha mkipitisha bajeti kuwa sehemu ya financing halafu baadaye mlaleta miyowe eti ohh Bunge hakikupitisha, stupid you

Kwa hiyo miaka yote mitano alikuwa anabweka tu ndiyoooo bajeti ipite wakati hajui hata kilichomo? Kuwa Kuna mikopo mle!
Yule alijilipukia huko na kufanya mambo nje ya bajeti.
Usijifanye hujui acha unafiki!!
 
Back
Top Bottom