Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Duniani ni kulipizana visasi.
Najua kimepita ila mlipize kwa kutembea na rafiki yake kipenzi augumie azimie apelekwe hospitali
 
Ulikosea! Ilikuwa pale walipoanza mahaba ungetoka uvunguni,huenda mmeo ndiye angezimia.
Lakini basi msamehe bure,kwa kuwa wewe huzai nadhani yuko kwenye harakati za kutafuta mtoto.
Harafu akina mama mfahamu House girl ni mke wa pili wa Mmeo.
Kadiri inavyowezekana fanya shughuli za ndani mwenyewe siyo mpaka umwajiri House girls.
 
Back
Top Bottom