bepari la kichaga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 519
- 503
Mchumba in no time??
To make the story short, kuna mdada nilikutana naye kwenye mwendo kasi stiry za hapa na pale kidume nikaambulia nambali za siku end of day one.
Baada ya mwezi tukawa mahabani na huyu manzi. Dhaa penzi kama lote mtoto mashaalah. Ila sikumuangusha nilimpa ile tunaita 'effectivery show' jana ndo kanitext kuwa alishindwa kuniambia ukweli yeye ni mke wa mtu na mama, Mzee wa mabakamabaka yuko nchi ya jirani analinda amani eti alishindwa kujizuia kwani anazaidi ya miezi sita hajapigwa msasa. Nilikuwa nashangaa mbona haombi hela. On otherside nimesikitika kwamba huku anaimarisha ulinzi huku nyuma huku beki hazikabi.
Ila tumekubaliana tusitishe. Kila mtu ameshika hamsini zake. Kuna nilipo kosea wakuu
Nakushauri uandike kabisa barua ya usia. Jamaa akirudi kuna moja kati ya haya mawili. Uchague kati ya "Guest House" au "Utangulie kwa muumba wako"
ana wasiwasi wa kupigwa mabuti.Jifunze kuandika mkuu
mleta uzi atakuwa Mkongo man, kiswahili kinamsumbua bado.Jf mnanichanganya bwana.Hivi Kila unayefanya naye show anakuwa mchumba?Maana mchumba Mara mke wa mtu...
Labda alimaanisha "mkuyenge""Effectivery" manake nini