Ujue kwamba ilikuwa "effectivery show"
Ujue kwamba ilikuwa "effectivery show"
Hawezikuwa mume wa mtu .hata hajui kuandikaKama umeoa ilikuosea sana
Matatizo ya nchi hii,si yakuisha Leo aseeTo make the story short, kuna mdada nilikutana naye kwenye mwendo kasi stiry za hapa na pale kidume nikaambulia nambali za siku end of day one.
Baada ya mwezi tukawa mahabani na huyu manzi. Dhaa penzi kama lote mtoto mashaalah. Ila sikumuangusha nilimpa ile tunaita 'effectivery show' jana ndo kanitext kuwa alishindwa kuniambia ukweli yeye ni mke wa mtu na mama, Mzee wa mabakamabaka yuko nchi ya jirani analinda amani eti alishindwa kujizuia kwani anazaidi ya miezi sita hajapigwa msasa. Nilikuwa nashangaa mbona haombi hela. On otherside nimesikitika kwamba huku anaimarisha ulinzi huku nyuma huku beki hazikabi.
Ila tumekubaliana tusitishe. Kila mtu ameshika hamsini zake. Kuna nilipo kosea wakuu
Mkuu mjini kuna guest,jela na mochuary..nakukumbusha tu mkuuTo make the story short, kuna mdada nilikutana naye kwenye mwendo kasi stiry za hapa na pale kidume nikaambulia nambali za siku end of day one.
Baada ya mwezi tukawa mahabani na huyu manzi. Dhaa penzi kama lote mtoto mashaalah. Ila sikumuangusha nilimpa ile tunaita 'effectivery show' jana ndo kanitext kuwa alishindwa kuniambia ukweli yeye ni mke wa mtu na mama, Mzee wa mabakamabaka yuko nchi ya jirani analinda amani eti alishindwa kujizuia kwani anazaidi ya miezi sita hajapigwa msasa. Nilikuwa nashangaa mbona haombi hela. On otherside nimesikitika kwamba huku anaimarisha ulinzi huku nyuma huku beki hazikabi.
Ila tumekubaliana tusitishe. Kila mtu ameshika hamsini zake. Kuna nilipo kosea wakuu
Ha haaaaaa hatari sana aisee.Huna kosaTo make the story short, kuna mdada nilikutana naye kwenye mwendo kasi stiry za hapa na pale kidume nikaambulia nambali za siku end of day one.
Baada ya mwezi tukawa mahabani na huyu manzi. Dhaa penzi kama lote mtoto mashaalah. Ila sikumuangusha nilimpa ile tunaita 'effectivery show' jana ndo kanitext kuwa alishindwa kuniambia ukweli yeye ni mke wa mtu na mama, Mzee wa mabakamabaka yuko nchi ya jirani analinda amani eti alishindwa kujizuia kwani anazaidi ya miezi sita hajapigwa msasa. Nilikuwa nashangaa mbona haombi hela. On otherside nimesikitika kwamba huku anaimarisha ulinzi huku nyuma huku beki hazikabi.
Ila tumekubaliana tusitishe. Kila mtu ameshika hamsini zake. Kuna nilipo kosea wakuu
Wanawake wa sasa hivi hawakuachi, atakuuliza kwani nimekukosea nini ili nijirekebishekutembea na mke wa mtu ni kitu kibaya sana ambacho sitadiriki kufanya. Mtoa mada kama ulikuwa hujui kama huyo ni mke wa mtu basi mtafutie kisa uachane nae tena kibaya mpk asikae akakukumbuka. Fanya hivi dawa ya demu ni demu tafuta demu mkali mkutanishe nae na umweleze wazi itamuuma sana na mtaachana mazima