Ibrahim HC
Member
- Oct 8, 2021
- 40
- 57
Mwili hauna mpango wa kwenda mbinguni, kwa maana mwili tumeukuta hapa duniani na tutauacha, lakini roho lazima ichague either hell or heaven.
Uzinzi sio ishu.
Warumi 8:6-7,13.
[6]Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani.
[7]Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.
[13]kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa; bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.
Uzinzi sio ishu.
Warumi 8:6-7,13.
[6]Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani.
[7]Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.
[13]kwa maana kama tukiishi kwa kufuata mambo ya mwili, mwataka kufa; bali kama mkiyafisha matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.