trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 3,362
- 7,707
Inaitwaje mkuu hiyo aplication?kuna application unadownload tu, kama unatumia android au ios, zinaweza kukuletea sms zote, call logs, zingine zinarecord mpaka calls unaweza kuskiliza baadaye, inakupa geolocation ya simu kwa wakati husika, unaweza kuwasha microphone ya simu yake hata kama ameiweka mezani ukaskiliza maongezi yanayoongewa offline bila yeye kujua, unaweza kuwasha camera ukaona kila kitu, unaweza kuangalia picha alizopiga, unaweza kukamata login details za kwenye mitandao ya kijamii na sehem zingine, kiufupi simu yake unakuwa na access nayo wakati wowote inapokuwa on bila yeye kujua, na hiyo application wala haionekani ukishaiweka inapotea kabsa!