nina-kithembe
Member
- Sep 14, 2013
- 63
- 14
Wadau nishaurini.
Nina mke...tumekua na uhusiano kwa muda mrefu. Lakin mwenzangu huyu anatabia za uzinzi, lugha chafu na kiburi. Nimejitahidi kila niwezavyo lakin furaha siipati. Huu ni mwaka wa sita sasa. Hatuelewani hata kidogo....inafikia hatua nikimpigia simu anakua haheshimu zimu zangu. Leo nimechukia sana baada ya kumpigia simu nabkisha kuikata. Nikampigia tena akadai rafiki yake alikua kaishika akawa amekata kwa bahati mbaya.
Kiukweli...nimeamua kutowasiliana nae tena. Nimemweka block list koz ni kwa muda mrefu hatuelewani. Naanza upya..nafanya issue zangu. Am tired na headache zisizokua na maana.
Nilimsomesha kuanzia sekondar mpaka chuo kikuu. Sasa kapangiwa kazi mbali na mimi. Anashindwa kuheshim mawasiliano.
Ataniua huyu mwanamke wadau. Au mnanishaurije?
Nina mke...tumekua na uhusiano kwa muda mrefu. Lakin mwenzangu huyu anatabia za uzinzi, lugha chafu na kiburi. Nimejitahidi kila niwezavyo lakin furaha siipati. Huu ni mwaka wa sita sasa. Hatuelewani hata kidogo....inafikia hatua nikimpigia simu anakua haheshimu zimu zangu. Leo nimechukia sana baada ya kumpigia simu nabkisha kuikata. Nikampigia tena akadai rafiki yake alikua kaishika akawa amekata kwa bahati mbaya.
Kiukweli...nimeamua kutowasiliana nae tena. Nimemweka block list koz ni kwa muda mrefu hatuelewani. Naanza upya..nafanya issue zangu. Am tired na headache zisizokua na maana.
Nilimsomesha kuanzia sekondar mpaka chuo kikuu. Sasa kapangiwa kazi mbali na mimi. Anashindwa kuheshim mawasiliano.
Ataniua huyu mwanamke wadau. Au mnanishaurije?