Ualimu hauna kasoro hasa serikalini, chenye kasoro hapo ni ubongo wako kutokuziona fursa za kufanya ili hali bado upo kwenye ajira. NawasilishaWakuu habari, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Nimesoma Education (bachelor of education in policy planning and management) nikispecialize kwenye Economics and accountancy kama teaching subjects, Sikuwahi kupenda kuwa mwalim lkn baada ya ukimaliza form six niliona sina option zaidi ya kuomba hio.
Sababu zilifanya niombe kwanza ni hali ngumu ya nyumbani na wigo mpana wa ajila na mkopo. Nilivomaliza chuo nilibahatika kufanya kazi shule kadhaa as private baadhi zinalipa vizuri zingine ndio hivo tena.
Mwaka 2016 nilibahatika kupata kazi serikalini, mwanzo nilifurahi lkn picha linaanza nilipangiwa shule na masomo ya kufundisha yakawa sawa yaan Economics and accountancy lakin shule niliyopangwa kwanza ni o level pili haina somo la biashara hata moja, nilivouliza nikaambiwa Bora nikubari nafundisha hata Civics maana shule iliyopo ya biashara ni moja tu na iko kijjn sana. Nilikubar na kuanza kazi mwanzo nilifundisha Civics baadae nikaona siwez nikahamia kwenye maths hadi sasa.
Changamoto ni nini? Nimechoka kufundisha vitu nisivovipenda, zaid pia ualim ni taaluma nzuri isiyokua na shukrani, haina fursa ya kukua au kuongezeka kitaaluma, kiuchumi inadumaza sana.
Msaada kwenu, what is the best, nirudi shule nikasome course mbadala? Au niombe uhamisho na kwa technique ipi ili nipate kulingana na masomo yangu ili nisipelekwe huko kufundisha commerce na bk wakat Ajira yangu ni ya Economics na account?
Kama ni shule je fursa ziko wapi kati ya kozi hizi nilizozipenda?
1. Insurance and risk management?
2. Social security hii sijui kirefu sana lkn inadeal na mifuko ya hifadhi za jamii.
3. Kama ipo nyingine in relation to business niambie.
Natanguliza shukrani, na samahani kwa uzi mrefu.
Nyinyi mnamihemko hamtafakari.Anajiona kuwa wa maana kusoma chuo walimu wake ni akina Kabudi
Nyinyi mnamihemko hamtafakari.
Yani mtu wa uchumi sombe msaada kwa wasio wachumi, inawaingia akilini kweli.
Basi tugeuze iwe GPA ya 2.5 ya TEKU na UDOM ndio 4 ya UDSM ili mfurahi maana nimewaudhi.
Hslafu hakuna mahala nimesema nimesoma UDSM.
[emoji23][emoji23][emoji23], Kweli aisee.Jamaa aliua
Usimtishe mwenzako kwani dunia imeshaisha kwa jamaakoKuna jamaa alikuwa na mawazo kama yako nikamsisistiza sana tena mara nyingi mno asiache hiyo kazi aangalie fursa mbalimbali za kumpa kipato nje ya kazi yake maana wenzake wengi wanapiga pesa vizuri tu akaniona mimi boya fulani akapiga mzigo chini baada ya miezi miwili alikutana na msoto hadi saizi bado anakiona cha mtema kuni,penda kazi uliyonayo kikubwa inakupa kipato.
Sawa motivational speaker.Usimtishe mwenzako kwani dunia imeshaisha kwa jamaako
akili yako ni mgando wewe.....maisha ni zaidi ya ajira lazima tufanye tunachokipenda ili kuongeza ubunifu kuliko kufanya mradi kazi nyambafu wewe. mtoa mada endelea kupambana usikate tamaa.pumbavu...wenzako wanalia ajira hakuna wew mpuuzi mmoja unadengua??? unaleta mashauzi kazin?? kuna watu huku wanaomba hata kibarua cha kusafisha madarasa na kusahihisha madaftar ya wanafunz, lkn wew umepata iyo kaz unaleta ubaguz na ujuaji?? ama kwel bahat humpata asiejua kutumia, oyaaa acha iyo kazi serkal itawaajil wanaotaka, hakuna muda wakubembelezana, huo ushaur wakijinga sjui wakusomea unachopenda watakupa wapumbv wasiojielewa, mtu umepata chance, bado huridhiki, yaan ndyo ninyi mkinyimwa ajira, mnapiga kelele na kutukana viongoz, mkipewa bado hamridhiki. acha iyo kaz njoo ktaani tubebe zege na kutwanga kokoto, maana uku pia utakutana na ujuz wako wa izo accountancy utaztumia kufanya biashara za vitumbua na kuuza mahindi choma....buree kabisa we kijana, ningekuwa mzaz wako, ungerudisha ada yangu[emoji41][emoji41]
Ushauri mbaya sana huu. Usimpoteza mwenzio aje kujutaNikupe Akili,
Nenda benki kakope afu ingia mtaani.
Tumia elimu yako ya uchumi na uhasibu uliyosomea ukajiajili.
Mambo yakinyooka mtaani,
achana na ishu za kupiga chaki.
Naamini utafanya vizur Sana katika ujasiliamali.
Mkuu naona uzi wa mwaka jana. Vipi maendeleo mkuu?Wakuu habari, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Nimesoma Education (bachelor of education in policy planning and management) nikispecialize kwenye Economics and accountancy kama teaching subjects, Sikuwahi kupenda kuwa mwalim lkn baada ya ukimaliza form six niliona sina option zaidi ya kuomba hio.
Sababu zilifanya niombe kwanza ni hali ngumu ya nyumbani na wigo mpana wa ajila na mkopo. Nilivomaliza chuo nilibahatika kufanya kazi shule kadhaa as private baadhi zinalipa vizuri zingine ndio hivo tena.
Mwaka 2016 nilibahatika kupata kazi serikalini, mwanzo nilifurahi lkn picha linaanza nilipangiwa shule na masomo ya kufundisha yakawa sawa yaan Economics and accountancy lakin shule niliyopangwa kwanza ni o level pili haina somo la biashara hata moja, nilivouliza nikaambiwa Bora nikubari nafundisha hata Civics maana shule iliyopo ya biashara ni moja tu na iko kijjn sana. Nilikubar na kuanza kazi mwanzo nilifundisha Civics baadae nikaona siwez nikahamia kwenye maths hadi sasa.
Changamoto ni nini? Nimechoka kufundisha vitu nisivovipenda, zaid pia ualim ni taaluma nzuri isiyokua na shukrani, haina fursa ya kukua au kuongezeka kitaaluma, kiuchumi inadumaza sana.
Msaada kwenu, what is the best, nirudi shule nikasome course mbadala? Au niombe uhamisho na kwa technique ipi ili nipate kulingana na masomo yangu ili nisipelekwe huko kufundisha commerce na bk wakat Ajira yangu ni ya Economics na account?
Kama ni shule je fursa ziko wapi kati ya kozi hizi nilizozipenda?
1. Insurance and risk management?
2. Social security hii sijui kirefu sana lkn inadeal na mifuko ya hifadhi za jamii.
3. Kama ipo nyingine in relation to business niambie.
Natanguliza shukrani, na samahani kwa uzi mrefu.
This is what am doing now hata bila mkopo, thou biashara kuna miezi inakua tight hatarii... but tunakaza, kinachonikwaza mm ni kuwa nafanya kazi kwa masomo nisiyoyapenda kabisa. Ingekua Economics na account ningevimba
unataka uanze kumtumia sms za whasap viewNi tumie number yako in-box tuwasiliane nikufundishe kupata pesa kwa mtaji mdogo tu.
The stupidy things you can do ni kwenda kusoma chochote ,ninachokushauri soma vitu vya mtaani kama
1.Coding
2.blogging
3.stock investment
4.cryptocurrency
5.social media marketing
6.Influencer n.k
Hivi vitakulipa hela nyingi baada ya miaka mitano kuliko hata mbunge (speaking from my experience) na utaacha kazi bira kuja kuomba ushauri wa MTU.
Sijui kwanini watu wanapenda elimu ya darasani wakati inawapa watu umaskini hata maprofesa tunaona wanafuga kuku.
mkuu wanafundisha wapi hiyo codding nimevutiwa na ushauri wako