2018
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 546
- 778
Habari Wakuu,
Mimi ni kijana mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa tatu, Agricultural Engineering-SUA
Nipo mbeya kwa sasa kutokana na likizo-Corona, Natafuta kazi yoyote Ile, ili mradi nipate chochote kitu, ni mwaminifu, mchapakazi.
Natanguliza shukrani za dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana mwanafunzi wa chuo kikuu mwaka wa tatu, Agricultural Engineering-SUA
Nipo mbeya kwa sasa kutokana na likizo-Corona, Natafuta kazi yoyote Ile, ili mradi nipate chochote kitu, ni mwaminifu, mchapakazi.
Natanguliza shukrani za dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app