teh teh..,kama unanijua hatakufoka siwezi kupiga ndiyo kabisaa..ahsante kwaushauri wako..wewe waonekana ni mpole saana... Elewa kwamba mapenzi ya kileo si ya mwaka 47.... Ukauzu wahitajika wakat mwingne...kwani kama utaendelea na upole wako utasumbuliwa na wengi.
Wakat mwingne unamtia makofi..
Ahsante kwa ushauri wako nitaufuata.Fanya maaamuzi magumu, sababu ya wewe kuendelea kuumia haipo hata chembe! Na ina onekana wewe ndio unampenda yeye hakupendi maana kama angekuwa ana kupenda asingekuwa ana kuumiza kila siku na kukwambia usimtafute. Fanya maamuzi magumu.
Ahsante kwa ushauri wako mzuri na wakunipa moyo nitautekeleza..huyo mpenzi ulimpenda kabla hujamuona? unajua nashindwa kuelewa mtu anasema nashindwa kumwacha sababu nampenda sana, what is kupenda? si ni hisia tu? yaani mtu ananifanyia madudu lakini siwezi kutoka sababu nampenda sana, as if huko nje nimeambiwa watu wameisha!
ukiacha relationship moja unautengenezea moyo fursa ya kujenga feelings kwa mwingine. wewe kama yamekufika shingoni ishia tu, utapenda pengine... tena unaweza kupenda zaidi ya hapo na ukajishangaa miaka yote uliyopoteza kung'ang'ania usipopendwa
Ahsante kwa ushauri,nimekubali ukweli ni bora niache kiende kuliko kuking'ang'ania kiendelee kuniumiza..Kweli mapenzi yanaleta upofu,hivi kaka wewe huwezi hata ukaona kwamba amekuchoka na hakuhitaji.kwanza anaonekana ni meterialistic,haiwezekani mtu anayekupenda akafanya hivyo.mimi siwezi kusema hapa nini cha kufanya japo cha kufanya hata wewe pia unakijua ila tu hutaki kukubali kuwa ukweli ndio huo na inakubidi ufanye maamuzi magumu
Ahsante nitafuata lakini ujanipa njia za kumsahau..
Nashukuru kwa ushauri,lakini mimi siyo player boy ndiyo maana miaka yote nilikuwa na yeye tu!.Anakuchezea hisia zako huyo tena na hatari sana kukaa katika mahusiano ya namna hii maana maumivu yake yanakuathiri taratibu kisaikolojia,tupe kule vuta mwingine fasta.
Sasa nimekubali ukweli na ahsante kwa ushauri..Kweli mapenzi yanaleta upofu,hivi kaka wewe huwezi hata ukaona kwamba amekuchoka na hakuhitaji.kwanza anaonekana ni meterialistic,haiwezekani mtu anayekupenda akafanya hivyo.mimi siwezi kusema hapa nini cha kufanya japo cha kufanya hata wewe pia unakijua ila tu hutaki kukubali kuwa ukweli ndio huo na inakubidi ufanye maamuzi magumu
Hebu funguka kidogo mkuu, wamejaa wapi? Muelekeze atawapataje usiishie hewani tu!Mwanaume unaumia kiasi hicho usikute ukiwa mwenyewe huwa unaliaga wewe.Kamata kikuku kichinje wewe uone utakavyonenepa wamejaa namna hii unaumiza kichwa dahh wanaume tunatofautiana sana aisee