- Thread starter
- #41
Ahsante sana nimekubali mapenz haya lazimishwi..Dah! Pole ndugu, maumivu ya mapenzi ni makali sana... Unataka akufanyie kitu gani ndio uelewe kama hana mpango na wewe?? Mapenzi hayalazimishwi kaka.. Ukiendelea na huyp dada ujue utakuwa unalia kila siku. ACHANA NAE..