Nimechezea za mbavu leo

Hizo Sentensi ulizoandika aisee siwezi mie wewe kweli unatongoza ile tulikuwa tukijuaga tukiwa watoto ndio tulijua utongozaji huo Mimi siwezi aise

Kutongoza kwangu Kama naona demu mkubwa kidogo na anajielewa natumia misamiati mingi ya Kama TUJENGE MALENGO, NI NATURE, MUDA NDIO HUU nk

Ila kiujumla hakuna fomula kabisa kutongoza
 
Age yake Ni 17-19 mkuu haizid hapo ko lazma uongo uwe mwingi tu
 
Kwa ninavyoona huyu Sarah anakudharau... itakuwa kuna kitu huna mfn hela, status nk, haoni future btn u 2, pia she is in serious relationship....au alishatendwa yupo kwenye recovery mode... achana nae...

Another mistake ulikuwa na haraka sana na maneno mengi.. wenzio hatufanyi hivyo... unauliza umekula? Kabla hajajibu salio linasoma anaishia kukushukuru... then unampotezea mpaka akutafute...akipiga hupokei unamsomesha tena salio.. na short msg ..nipo busy nikiwa free nakucheck....

Sasa maelezo ya huu utongozaji ya kitoto lazima tetere akuponyoke....

Ushauri....muda huu unaopoteza kumwazia mtu anaekudharau ungeutumia kupanga issue za mkwanja... ungekuwa na cha maana kichwani.
 
What a simp amekuwa keki kwani


Kaa kiume bro acha kulialia
 
We jamaa maliza kwanza Shule hayo mambo utayakuta tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…