Nimecheka sana....


Endelea kucheka tu ndugu...Bell 9 anasema kama hukubaliani na vigezo rudisha kwanza zile saba za mwaka jana.
 
Aliwanunua una ushahidi??

Who alleges must prove...

Lets presume aliwanunua hapa bongo kwahiyo London, Dubai , Rwanda, Burundi kote alijaza mafuriko ya watu.. Je na huko alinunua??

Rwanda ,Burundi yale ni matamasha yaliyousisha wasanii wengi mfano fiesta ye I elade alipokuja akustahili kwenda kwao na kujisifia kua amejaza uwanja Tznia

Kisimbue kichwa chako kufikiria
 
Weka picha diamond alivyotumbuiza Dubai na huko London .....kuna ile iliyokuwa na vurugu Germany had I BBC kikeke akatoa full report ule ukumbi ukiwa full ni watu 200 tu. Sasa hao hata Mimi sinajaza
 
Kwenye utunzi bora kweli Barnabas alistahili kabisa na sio diamond!
By the way si hawahawa majaji walimpa tuzo7 diamond na mkashangilia imekuwaje Leo
Plus yeye anaushawishi had I ikulu ameshindwaje kuzuia hili Kama ulikuwa ni mpango?
Kutumbuiza jamani sio kucheza tu pale ni ishu ya vyombo na live na ndio maana hata mbele waimba rock ndio wanaitwa watumbuizaji wazuri coz ni watu wa-live na ndio maana akina Chris brown nao wanaimba live siku hizi
 
Na kuna mmoja kasema eti diamond yuko kwenye media kila siku. Je hizo story zake za kwenye media ni % ngapi ni za mziki na % ngapi ni MAPENZI na habari za Mimba
 
Tuongeze tuzo ya MTU aliye kwenye media mda mrefu. All in all hizo tuzo tangu mwanzo zinaanza nikaachaga kuzifuatilia coz hazina watu wenye akili huko juu. Walimpaga tuzo 20% eti ya nyimbo bora ya reege nilichoka kisa tu kanyongorota nywele ....nikaachaga kuzifuatilia tangu siku hiyo
 
Rwanda ,Burundi yale ni matamasha yaliyousisha wasanii wengi mfano fiesta ye I elade alipokuja akustahili kwenda kwao na kujisifia kua amejaza uwanja Tznia

Kisimbue kichwa chako kufikiria

Mombasa na white party?
 
Yoooooooooooooooooooooooooooooooooooote, alishayajua Diamond ni kama Kiba alivyokwisha jua kuwa atatunzwa ndo mana alianza kushukuru siku 5 kabla ya tukio.Na Diamond hivo vitu havitamrudisha nyuma ndo mana wala hakuangaika navyo aliwaacha watunzane (Kicheko kinazidi zaidi eti hadi christian bella na yamoto band nao hola hii kweli bongo)
 
Well said. .una akili sana..
Umeongea bila ku offend mtu
Na ni wazi mziki unaujua
 

Kama kuna asiyeelewa hili usifafanue tena hahah!
 

Kwanza nimepiga kura....

Hivi unataka kuanza unibishi kuhusu wimbo wa my number one wa Diamond au???

kama ni hivyo sitaki kubisha na ww kwa sababu it is so obvious kuwa number one ukilikuwa wimbo mkubwa sana locally n internationally ... Umempa tunzo zaidi ya 15 locally na internationally unataka proof gani tena...

kuhusu ubora wa Barnaba kwa mwaka huu ni tofauti ya mwaka jana... Hebu fanya ref ya nyimbo alizoandika mwaka jana na mwaka huu... Halafu pigia mstari


Nimetaja vigezo vingi sana vya dai kuwa msanii bora wa mwaka.. We jifanye umeona kigezo kimoja tuuu..

Maswali yako mengine hayana mashiko ....
 

Chriss brown anaimba live sikuhzi ...kwahyo zamani alikuwa hhaimbi live??

Kwa hii kauli yako sibishani na ww kabisa
 

Kila kitu kinakuwa determined by time, hili swali kwanini alipochukua tuzo saba hamkulalamika mi naona huwa linatolewa na watu ambao hawapo smart mentally, Ni ukweli usiofichika kwamba Diamond alichukuwa tuzo 7 kwakuwa alifanya vizuri, bila kupata upinzani 2014, mwaka huu kuna watu wamejithidi kuamka lakini bado hawajamfikia diamond huo ni ukweli usiokuwa na ukakasi. Kwahiyo tulitegemea diamond aendelee kuongoza wengine ndo wafuate kwani uongooooooo! Ila kwakuwa kigezo ni kura let us zip our mouth kwasababu inawezekana kura zetu hazikutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…