Nimechanganyikiwa msaada wa haraka

Acha upopoma wanaume hatuendeshwi kwa hisia mzee.
Kwa akili tu inabidi uoe huyo kakuzalia mtoto, sasa kama hana baya kwanini usimuoe, umemzalisha unaenda kuoa kwingine kisha keshokutwa mnakuja kuwananga haoa SINGLE MAZAs
 
Mkuu una tatizo la kisaikolojia....ambalo husababisha uwenda wazimu.asante na karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…