Kwa kawaida huwezi nikuta JF weekend ila hii balaaa sina mkwanja AKA fuba nimekuwa mdooooogo nimechalalaaaa mbaya kudadadadeki nimetia adabu nimeangalia movie zishaisha......
...mbaya zaidi mashori kibao hawapokei simu mmoja kasema nimfuate nimpeleke dar zoo aisee nimemwambia naumwa!!!!!!!
Una nauli ya kufika huko? Au utatembea!sweeetheart kama vipi sema tukutane wapi tupige mastory.....
sweeetheart kama vipi sema tukutane wapi tupige mastory.....[/QUOTE
Jana dowans walinikata stimu vipi leo unaweza tuonane?
THumb up to all dadaz wa JF aisee.......sema wagumu hao ukitaka urafiki za kimapenzi.......
hav been there broder....u need some special skills.....
kumbe wadada wa JF wana upendo eeh...?
mzee hiyo avatar yako chupu chupu niangushe monitor yangu kwa kibao nilichotoa nikidhani mdudu kapita,,,,,,,,,,,,,,