Nimebakwa na wanawake watatu

Mie najiuliza mashine ilikuwa inasimama wakati wewe hujitambui?Nawaza tu lakini
 
Hapa kuna maswali mengi zaidi ya maji;
1) labda wamegundua unawapiga
cha juu wameamua kukukomoa
2)ilikuwaje usiende kazin upatikane
kirahisi namna hii!!!
3)wamegundua unapenda kula hovyo!!!!
4)imekuwaje wakudharau namna hii labda umejirahisi sana
 
Ndo unajifunza kudanganya!
Masikini hukufikiria kuwa fahamu zikipotea na babu pia hakohoi!
 
Mtoa uzi cna uzoefu Sana ila najua ukishazima mashine haiwez kuamka kama walikuvua wakakuchezea tu Sawa, ila pia iwe fundisho kua kila kitu tukifanye kwa mipaka kua na mazoea na jinsia tofauti namna hiyo itakuweka hatiani, wasamehe mana ukisema utawafanyia kitu mbaya utafungwa, ww umedhawaelewa wakwepe fanya mambo yako
 
Mi natamani sana nikutane na mwanamke mbakaji nione atanifanya nini

Kwamba nabakwa halafu napiga kelele hhahahahah haileti sense kabisa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…