Nimebadilika

Nimebadilika

wiseboy

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
2,930
Reaction score
3,314
Jaman wana jf.. nilikuwa na modem ya zantel, wanahuduma nzuri tatizo ni kwamba ukiwa mtongani hupat network, ukiwa sanawari arusha vivyo hvyo.....sasa nimehamia airtel plz naombeni mnipe tips zao za kuweka vocha, kujua salio, na nina vocha ya elfu 10 je ninue kifurushi gani? plz nisaidien hzo tips
 
jaman wana jf.. Nilikuwa na modem ya zantel, wanahuduma nzuri tatizo ni kwamba ukiwa mtongani hupat network, ukiwa sanawari arusha vivyo hvyo.....sasa nimehamia airtel plz naombeni mnipe tips zao za kuweka vocha, kujua salio, na nina vocha ya elfu 10 je ninue kifurushi gani? Plz nisaidien hzo tips

tuma neno internet kwenda no 15444 utapata 400mb kwa tsh 2500.
Kama hatikutoshi tuna mara 4 itakuwa 400x4= gb 1.....
 
Jaman wana jf.. nilikuwa na modem ya zantel, wanahuduma nzuri tatizo ni kwamba ukiwa mtongani hupat network, ukiwa sanawari arusha vivyo hvyo.....sasa nimehamia airtel plz naombeni mnipe tips zao za kuweka vocha, kujua salio, na nina vocha ya elfu 10 je ninue kifurushi gani? plz nisaidien hzo tips
pia unaweza kununua kifurushi cha 500 na ukatumia masaa24 bila kikomo toa line weka kwenye simu piga *154*44# chagua kifurushi cha muda (siku) utafurahia masaa 24 yote.
 
Back
Top Bottom