Nimeathirika kununua makahaba sasa nataka kuacha

Nimeathirika kununua makahaba sasa nataka kuacha

Joined
Oct 17, 2014
Posts
31
Reaction score
14
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25... hapo mwanzo nlikuwa na mpenzi wangu bahati mbaya mwaka jana mnamo august tukaachana.. sasa kwa hasira nkaanza tabia ya kutembea na makahaba. siku ya kwanza ilikuwa itigi sehemu maarufu sana morogoro.nikiwa pale nilikaa peke yangu nikiwaA hili na lile mara akatokea dada poa mmoja akaniuliza km nlikuwa nataka huduma,kwanza nlikataa ila alinibembeleza akaniambia elfu kumi kwa bao moja na gharama ya gest juu yake ikabidi nkubali tukaenda..sasa baada ya hapo ikawa ndo mchezo wangu nkijisikia tu naenda kupata cha fasta narudi home. kivumbi nliporudi dar ikawa ndo tabia yangu sasa tabia hii naona imekithiri mpaka inafikia siwezi kukaa siku tatu bila kwenda kununu.naombeni ushauri nifanye nini ili niache maana naona ni tatizo maana nimejaribu kuwacha nimeshindwa...
 
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25... hapo mwanzo nlikuwa na mpenzi wangu bahati mbaya mwaka jana mnamo august tukaachana.. sasa kwa hasira nkaanza tabia ya kutembea na makahaba. siku ya kwanza ilikuwa itigi sehemu maarufu sana morogoro.nikiwa pale nilikaa peke yangu nikiwaA hili na lile mara akatokea dada poa mmoja akaniuliza km nlikuwa nataka huduma,kwanza nlikataa ila alinibembeleza akaniambia elfu kumi kwa bao moja na gharama ya gest juu yake ikabidi nkubali tukaenda..sasa baada ya hapo ikawa ndo mchezo wangu nkijisikia tu naenda kupata cha fasta narudi home. kivumbi nliporudi dar ikawa ndo tabia yangu sasa tabia hii naona imekithiri mpaka inafikia siwezi kukaa siku tatu bila kwenda kununu.naombeni ushauri nifanye nini ili niache maana naona ni tatizo maana nimejaribu kuwacha nimeshindwa...
Rudi Itigi ukamuowe yule ulienzanae hilo pepo la uzinzi litakutoka....
 
Usiache gharama yao ndogo hakuna kugandwa km kupe na mademu wa dar
 
Inawezekana ukiamua kwa dhati....jaribu kufuta picha ya madhara utakayo yapata endapo mpira utaburst katikati ya game na upo na huyo unayemwita kahaba...Unadhani nin kitatokea? Ukiwa unajijali na unataka ufurahie maisha yako utaacha mara moja.
 
thought->action->habit->character, hcho ndo klichotokea hyo ishakuwa character, so cha kwanza uondoe fikra potovu(evil thought) kwa prayers, kuwa bizee na vitu vngne,kumbuka "an idle mind is the devil's workshop", try to win evil thoughts
 
Katika wote uliokula yupi alikuvutia zaidi?
 
Dah! Kata chululu tu, hizi mambo zote hutakumbana nazo. I'm just playing.

Kubaliana na matokeo ya kuachana na manzi wako kwanza. Halafu muda ambao haupo shule/ofisini do something you like, video games, movies, music, sports, kujumuika na marafiki wema, kusoma vitabu. Chochote ambacho kitashughulisha mind yako isiwe idle. Kila la kheri.
 
Hili jukwaa bana! Ukiwa na stress ingia tu!
 
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25... hapo mwanzo nlikuwa na mpenzi wangu bahati mbaya mwaka jana mnamo august tukaachana.. sasa kwa hasira nkaanza tabia ya kutembea na makahaba. siku ya kwanza ilikuwa itigi sehemu maarufu sana morogoro.nikiwa pale nilikaa peke yangu nikiwaA hili na lile mara akatokea dada poa mmoja akaniuliza km nlikuwa nataka huduma,kwanza nlikataa ila alinibembeleza akaniambia elfu kumi kwa bao moja na gharama ya gest juu yake ikabidi nkubali tukaenda..sasa baada ya hapo ikawa ndo mchezo wangu nkijisikia tu naenda kupata cha fasta narudi home. kivumbi nliporudi dar ikawa ndo tabia yangu sasa tabia hii naona imekithiri mpaka inafikia siwezi kukaa siku tatu bila kwenda kununu.naombeni ushauri nifanye nini ili niache maana naona ni tatizo maana nimejaribu kuwacha nimeshindwa...

Tafuta mwanamke oa
 
Nakushauri endelea,kwanza hawana gharama na vyepesi kuwapata na vigumu kuwachoka. Pia vigumu kupata ngoma km ukitumia condom vzr. Hakikisha haulali nae na usizidishe zaidi ya bao moja.
Tatizo la kuacha hao machangu utataka kubadilisha hao wa geti kali wa kila aina na tunajifanya tunawaamini na kujisahaulisha kinga kumbe ndio makahaba wakubwa,watakumaliza fasta.
Watumie hawa machangu kwa umakini itakua poa tu.

AT YOUR OWN DISCRETION & RISK
 
Back
Top Bottom