runtown
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 844
- 1,169
Habari za mida wana JF na poleni na majukumu,
Ni mwezi toka nifanye mapenzi na msichana wangu, mara ya mwisho sasa ananichenga isivyo kawaida kila tukipanga ikikaribia siku husika inatokea kijisababu.
Sasa mimi hii tabia inanichosha.Naombeni ushauri wenu nifanye nini wakuu
Ni mwezi toka nifanye mapenzi na msichana wangu, mara ya mwisho sasa ananichenga isivyo kawaida kila tukipanga ikikaribia siku husika inatokea kijisababu.
Sasa mimi hii tabia inanichosha.Naombeni ushauri wenu nifanye nini wakuu