NIMEANDIKA KITABU, tatizo kupublish na distributer, MSAADA PLS!

Hute

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,537
6,458
WAJAMENI, nimefanikiwa kuandika kitabu kizuri sana, viwili actually, na lengo langu ni kuvitoa vitabu hivyo ili niviuze. mambo niliyoandika ni marketable sana hapa tz tena nimeandika kwa kiswahili kiasi kwamba kila mtu akikiona atakinunua bila shaka. tatizo langu ni kwamba, sijawahi fanya hivi, naombeni kujua kwa wale mlionitangulia kuandika vitabu, au wenye knowledge yeyote kuhusiana na hili.

  1. sina pesa kulipia publishing, kuna kampuni yeyote inaweza kuingia mkataba nayo?

  1. hata kama nikijipinda nikapata milioni kadhaa kama tatu hivi, je? ma distributor wepi wazoefu/wazuri wanaofahamika ambao naweza kufanya nao kazi kunisambazia kitabu changu tz nzimba? au how does the distribution thing work?
nategemea msaada mzuri wa mawazo tafadhali. asante sana.
NB; sijataja nimeandika kitabu cha aina gani, najua nikitaja tu, watu wengine watatoa kitabu kama hicho hata kabla changu hakijatoka....nafikiri huu ni ulimwengu wa ushindani.
 
WAJAMENI, nimefanikiwa kuandika kitabu kizuri sana, viwili actually, na lengo langu ni kuvitoa vitabu hivyo ili niviuze. mambo niliyoandika ni marketable sana hapa tz tena nimeandika kwa kiswahili kiasi kwamba kila mtu akikiona atakinunua bila shaka. tatizo langu ni kwamba, sijawahi fanya hivi, naombeni kujua kwa wale mlionitangulia kuandika vitabu, au wenye knowledge yeyote kuhusiana na hili.

  1. sina pesa kulipia publishing, kuna kampuni yeyote inaweza kuingia mkataba nayo?

  1. hata kama nikijipinda nikapata milioni kadhaa kama tatu hivi, je? ma distributor wepi wazoefu/wazuri wanaofahamika ambao naweza kufanya nao kazi kunisambazia kitabu changu tz nzimba? au how does the distribution thing work?
nategemea msaada mzuri wa mawazo tafadhali. asante sana.
NB; sijataja nimeandika kitabu cha aina gani, najua nikitaja tu, watu wengine watatoa kitabu kama hicho hata kabla changu hakijatoka....nafikiri huu ni ulimwengu wa ushindani.

mkuu umejuaje kama ni kizuri? najua ni ngumu kuhakiki kitabu ulichokiandika mwenyewe
 
nimekihakiki kupitia watu waliobobea kwenye eneo hilo. nina uhakika na ninachoongea, ndio maana nimekuja hapa kutafuta namna ya kufinance, na kama kufinance ni ngumu, mwenyewe naweza lakini najua lazima nishirikiane na distributor mzoefu...upo? ndo maana nimeomba ushauri, hapa ni ushauri tu, ila kuhusu kitabu nina uhakika na ninachoongea.
 
Back
Top Bottom