Nimeamua kutoa mshahara wangu wa mwezi niliozaliwa kwa wazazi wangu!!!

mandokwa

JF-Expert Member
Jun 5, 2013
620
865
Sioni sababu ya kwanini nipongezwe siku ya kuzaliwa.
Kwani nimefanya nini kustahili pongezi? wazazi wangu na Mungu ndio walitenda muujiza. Nilizaliwa bila hata kujua, leo hii mnanipongeza kwa lipi? Sina control ya maisha yangu, yeye aliyenileta akiamua kesho sitafika wala hiyo siku sitaifika tena. why mnanipongeza?

Nimewaza sana nikaona nabadili utaratibu. Marafiki zangu msinipongeze siku yangu ya kuzaliwa. Nimejifunza wazazi wangu walifanya mengi mpaka hii leo naheshima, warembo wananitaka , washkaji wananizonga, majirani wananishukuru yote haya ni kwasababu wazazi wangu walikosa usingizi wao kunilea na kuwekeza kwangu. Nimetambua shida ya kusomesha na kulea baada ya mimi kujikuta nakosa usingizi kuwalea wanangu. Baba yangu alisucrifce mali zao kwangu, mashemeji na wakwe please mnisamehe pale ninaporudi kwetu kukaa na wazazi wangu na kuwaletea zawadi, wao wamenifanya mimi.

Kuanzia sasa sitakuwa na sherehe ya kuzaliwa, nimeamua mshahara wangu wa mwezi niliozaliwa niwape wazazi wangu. Tuwalee na kuwashukuru wazazi wetu. Hawa warembo hawakuhusika na lolote kwetu mpaka tumekuwa hivi ndipo wanajiliza kwetu hadi tunasahau wazazi. Marafiki zangu humu msinitakie siku ya kuzaliwa wala kuniletea zawadi. Zipelekeni hizo zawadi kwa wazazi wenu, kwa ndugu zenu.

Nangu mandokwa
 
Sioni sababu ya kwanini nipongezwe siku ya kuzaliwa.
Kwani nimefanya nini kustahili pongezi? wazazi wangu na Mungu ndio walitenda muujiza. Nilizaliwa bila hata kujua, leo hii mnanipongeza kwa lipi? Sina control ya maisha yangu, yeye aliyenileta akiamua kesho sitafika wala hiyo siku sitaifika tena. why mnanipongeza?

Nimewaza sana nikaona nabadili utaratibu. Marafiki zangu msinipongeze siku yangu ya kuzaliwa. Nimejifunza wazazi wangu walifanya mengi mpaka hii leo naheshima, warembo wananitaka , washkaji wananizonga, majirani wananishukuru yote haya ni kwasababu wazazi wangu walikosa usingizi wao kunilea na kuwekeza kwangu. Nimetambua shida ya kusomesha na kulea baada ya mimi kujikuta nakosa usingizi kuwalea wanangu. Baba yangu alisucrifce mali zao kwangu, mashemeji na wakwe please mnisamehe pale ninaporudi kwetu kukaa na wazazi wangu na kuwaletea zawadi, wao wamenifanya mimi.

Kuanzia sasa sitakuwa na sherehe ya kuzaliwa, nimeamua mshahara wangu wa mwezi niliozaliwa niwape wazazi wangu. Tuwalee na kuwashukuru wazazi wetu. Hawa warembo hawakuhusika na lolote kwetu mpaka tumekuwa hivi ndipo wanajiliza kwetu hadi tunasahau wazazi. Marafiki zangu humu msinitakie siku ya kuzaliwa wala kuniletea zawadi. Zipelekeni hizo zawadi kwa wazazi wenu, kwa ndugu zenu.

Nangu mandokwa
Salute!
 
Ila upunguze mbwembwe anko. Marafiki kukutakia heri ya kuzaliwa tatizo ni lipi?
 
Allah akujaalie kingi zaidi ya kidogo ukitoacho kwa wazazi wako.

Tukumbuke muda yaani kuwajali wazazi ni kitu cha muhimu pia maana hata tukiwapa wazazi wetu hata thamani ya vile tulivyonavyo haiwezi fidia muda wao waliopoteza juu yetu.

Jiulize mzazi mmoja anaweza lea na kutunza wanawe 5 ila watoto watano wanashindwa kumlea mzazi mmoja au wote wawili.
 
Una akili sana!!!! Ungekuwa umeanza utaratibu huu tokea zamani ungekuwa mbali sana! Hongera kama utafanya kama ulivyopanga!!!
 
Salute
Sioni sababu ya kwanini nipongezwe siku ya kuzaliwa.
Kwani nimefanya nini kustahili pongezi? wazazi wangu na Mungu ndio walitenda muujiza. Nilizaliwa bila hata kujua, leo hii mnanipongeza kwa lipi? Sina control ya maisha yangu, yeye aliyenileta akiamua kesho sitafika wala hiyo siku sitaifika tena. why mnanipongeza?

Nimewaza sana nikaona nabadili utaratibu. Marafiki zangu msinipongeze siku yangu ya kuzaliwa. Nimejifunza wazazi wangu walifanya mengi mpaka hii leo naheshima, warembo wananitaka , washkaji wananizonga, majirani wananishukuru yote haya ni kwasababu wazazi wangu walikosa usingizi wao kunilea na kuwekeza kwangu. Nimetambua shida ya kusomesha na kulea baada ya mimi kujikuta nakosa usingizi kuwalea wanangu. Baba yangu alisucrifce mali zao kwangu, mashemeji na wakwe please mnisamehe pale ninaporudi kwetu kukaa na wazazi wangu na kuwaletea zawadi, wao wamenifanya mimi.

Kuanzia sasa sitakuwa na sherehe ya kuzaliwa, nimeamua mshahara wangu wa mwezi niliozaliwa niwape wazazi wangu. Tuwalee na kuwashukuru wazazi wetu. Hawa warembo hawakuhusika na lolote kwetu mpaka tumekuwa hivi ndipo wanajiliza kwetu hadi tunasahau wazazi. Marafiki zangu humu msinitakie siku ya kuzaliwa wala kuniletea zawadi. Zipelekeni hizo zawadi kwa wazazi wenu, kwa ndugu zenu.

Nangu mandokwa
 
Kwahiyo mishahara mingine ya miezi ambayo hujazaliwa huwapagi? Mzazi anapewa kila Mara huna haja kusubiri mwezi wako wa kuzaliwa
====
Huu ni special for them, wafanyie watakacho. bado haliondoi mchango wangu kwao
 
Back
Top Bottom