chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,150
- 2,354
Puli yenyewe sio poa maana lazima uvute hisia za dem flanSawa kabisa bora upige puli tu
Ova
SawaWee kichwa cha uzi, nikajisemea anaachana na mademu halafu 🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Kumbe kusoma ndani, umefanya jambo la maana sana hongera.
Kwema wandugu,
Nimeona kufukuzia watoto wazuri inanidistract Sana nisifikie malengo yangu so naona Bora nipige chini nianze kufocus kwenye Mambo ya kujitafutia maendeleo.
Ndio ndio kiongoziHapo umekuwa maturity
Sabuni haizidi Jero wakati mademu anataka ulipe mpaka kodiKwema wandugu,
Nimeona kufukuzia watoto wazuri inanidistract Sana nisifikie malengo yangu so naona Bora nipige chini nianze kufocus kwenye Mambo ya kujitafutia maendeleo.
Wee kichwa cha uzi, nikajisemea anaachana na mademu halafu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kumbe kusoma ndani, umefanya jambo la maana sana hongera.
Hata puli sitapiga mkuuSabuni haizidi Jero wakati mademu anataka ulipe mpaka kodi
Sabuni haizidi Jero wakati mademu anataka ulipe mpaka kodi
Hata puli sitapiga mkuuSabuni haizidi Jero wakati mademu anataka ulipe mpaka kodi
Sabuni haizidi Jero wakati mademu anataka ulipe mpaka kodi
Hapana wananiharibia malengoHicho ni kichwa cha juu ndio kimeamua. Subiri ndonga la chini lianze kufikiria na lenyewe utawatafuta walipo mwenyewe.
Nmemuona chiefkama ulikuwa umfahamu mzee wa yatapita mwamba huyu hapo pembeni
View attachment 2497345
Duh mkuu kuwa na adabu itakusaidiaJiandae kuliwa jicho