Nenda hospitali iliyo karibu usiogope
Jiiself isolate halafu paracetamol ihusikekwa haraka mapema? au niiskilizie hali kwanza?
Ni bora uende tu kuliko kusikiliza hali ikojekwa haraka mapema? au niiskilizie hali kwanza?
Ni bora uende tu kuliko kusikiliza hali ikoje
Kichwa hakiumi
ukumbuke kuandika urithi
Pole hakuna kitu kibaya kama hofukinauma ila maumivu bado sio makali yakawaida tu.
Pole hakuna kitu kibaya kama hofu
Kikohozi hauna bado ?
Anza kutumia ginger na maji ya limauKweli mkuu.
sina mkuu, ila dalili zipo mana koo ipo kavu kama nataka kufanya mafua ni kikohozi
Anza kutumia ginger na maji ya limau
Anza kutumia ginger na maji ya limau
Tafuna ndo vizuri pia waweza chemsha na majiasnte sana mkuu. je hiyo ginger nitafune au nichemshe ninywe maji?
Anza kutumia ginger na maji ya limau
Maji ya motona maji ya limau yawe baridi au moto yani ya mchemsho?
Andaa hii kitu.... Kama maelekezo yalivyo kwenye clip. Then jiandae kwenda hospitali.Nimejaa na wasiwasi wakuu, Jana jioni nilianza kama dalili za mafua leo asubuhi nimeamka na homa kabisa, ila mafua yapo kwa mbaali. moyo umetanda hofu kwa kweli