Nimeamini Rais Magufuli hamuonei mtu kwenye kutumbua

igp

JF-Expert Member
Feb 16, 2015
839
543
Kumbukumbu zangu zinanionesha wapo waliotumbuliwa tukalalamika lakini baada ya ukweli ukabainika bayana kuwa hawakuonewa badala yake tumebaini kuwa walitumbuliwa kwaushihi.

Mfano Mwele Malecela aliyetangaza kuwa Tanzania imevamiwa na ugonjwa wa zika lakini serikali ikaweka msimamo nakuonesha ukweli kuwa hakuna ugonjwa huo,ambapo sote tumebaini mpaka leo hakuna huo ugonjwa kwahiyo Mwele alipotosha umma na kutia hofu kwa kitu ambacho hakikuwepo ndiyo maana alitumbuliwa.

Pili alitumbuliwa Anna Kilango kwa kudai kuwa Shinyanga haikuwa na watumishi hewa lakini ikaonekana kulikuwa na watumishi hewa wengi sana.Lakini pia ametumbuliwa katibu mkuu nishati kwa kutoa tarifa ambazo siyo sahihi kuhusu mchanga wenye madini unaosafirishwa kwenda mataifa ya kigeni.

Ifike mahala tukubali kuwa JPM hajui kumuonea mtu bali hufuata taratibu zote mpaka anamtumbua mtu.
 
Kumbukumbu zangu zinanionesha wapo waliotumbuliwa tukalalamika lakini baada ya ukweli ukabainika bayana kuwa hawakuonewa badala yake tumebaini kuwa walitumbuliwa kwaushihi.

Mfano Mwele Malecela aliyetangaza kuwa Tanzania imevamiwa na ugonjwa wa zika lakini serikali ikaweka msimamo nakuonesha ukweli kuwa hakuna ugonjwa huo,ambapo sote tumebaini mpaka leo hakuna huo ugonjwa kwahiyo Mwele alipotosha umma na kutia hofu kwa kitu ambacho hakikuwepo ndiyo maana alitumbuliwa.

Pili alitumbuliwa Anna Kilango kwa kudai kuwa Shinyanga haikuwa na watumishi hewa lakini ikaonekana kulikuwa na watumishi hewa wengi sana.Lakini pia ametumbuliwa katibu mkuu nishati kwa kutoa tarifa ambazo siyo sahihi kuhusu mchanga wenye madini unaosafirishwa kwenda mataifa ya kigeni.

Ifike mahala tukubali kuwa JPM hajui kumuonea mtu bali hufuata taratibu zote mpaka anamtumbua mtu.
Hao ndio wote waliotumbuliwa?

Unajua kitu kinaitwa "due process"?

Unajua kwamba hata kama mtu kakosea, kumtumbua bila due process ni kumuonea?
 
Kumbukumbu zangu zinanionesha wapo waliotumbuliwa tukalalamika lakini baada ya ukweli ukabainika bayana kuwa hawakuonewa badala yake tumebaini kuwa walitumbuliwa kwaushihi.

Mfano Mwele Malecela aliyetangaza kuwa Tanzania imevamiwa na ugonjwa wa zika lakini serikali ikaweka msimamo nakuonesha ukweli kuwa hakuna ugonjwa huo,ambapo sote tumebaini mpaka leo hakuna huo ugonjwa kwahiyo Mwele alipotosha umma na kutia hofu kwa kitu ambacho hakikuwepo ndiyo maana alitumbuliwa.

Pili alitumbuliwa Anna Kilango kwa kudai kuwa Shinyanga haikuwa na watumishi hewa lakini ikaonekana kulikuwa na watumishi hewa wengi sana.Lakini pia ametumbuliwa katibu mkuu nishati kwa kutoa tarifa ambazo siyo sahihi kuhusu mchanga wenye madini unaosafirishwa kwenda mataifa ya kigeni.

Ifike mahala tukubali kuwa JPM hajui kumuonea mtu bali hufuata taratibu zote mpaka anamtumbua mtu.
Utakuwa unamatatizo wewe
 
Kumbukumbu zangu zinanionesha wapo waliotumbuliwa tukalalamika lakini baada ya ukweli ukabainika bayana kuwa hawakuonewa badala yake tumebaini kuwa walitumbuliwa kwaushihi.

Mfano Mwele Malecela aliyetangaza kuwa Tanzania imevamiwa na ugonjwa wa zika lakini serikali ikaweka msimamo nakuonesha ukweli kuwa hakuna ugonjwa huo,ambapo sote tumebaini mpaka leo hakuna huo ugonjwa kwahiyo Mwele alipotosha umma na kutia hofu kwa kitu ambacho hakikuwepo ndiyo maana alitumbuliwa.

Pili alitumbuliwa Anna Kilango kwa kudai kuwa Shinyanga haikuwa na watumishi hewa lakini ikaonekana kulikuwa na watumishi hewa wengi sana.Lakini pia ametumbuliwa katibu mkuu nishati kwa kutoa tarifa ambazo siyo sahihi kuhusu mchanga wenye madini unaosafirishwa kwenda mataifa ya kigeni.

Ifike mahala tukubali kuwa JPM hajui kumuonea mtu bali hufuata taratibu zote mpaka anamtumbua mtu.
Too low!!
 
Kumbukumbu zangu zinanionesha wapo waliotumbuliwa tukalalamika lakini baada ya ukweli ukabainika bayana kuwa hawakuonewa badala yake tumebaini kuwa walitumbuliwa kwaushihi.

Mfano Mwele Malecela aliyetangaza kuwa Tanzania imevamiwa na ugonjwa wa zika lakini serikali ikaweka msimamo nakuonesha ukweli kuwa hakuna ugonjwa huo,ambapo sote tumebaini mpaka leo hakuna huo ugonjwa kwahiyo Mwele alipotosha umma na kutia hofu kwa kitu ambacho hakikuwepo ndiyo maana alitumbuliwa.

Pili alitumbuliwa Anna Kilango kwa kudai kuwa Shinyanga haikuwa na watumishi hewa lakini ikaonekana kulikuwa na watumishi hewa wengi sana.Lakini pia ametumbuliwa katibu mkuu nishati kwa kutoa tarifa ambazo siyo sahihi kuhusu mchanga wenye madini unaosafirishwa kwenda mataifa ya kigeni.

Ifike mahala tukubali kuwa JPM hajui kumuonea mtu bali hufuata taratibu zote mpaka anamtumbua mtu.
Mbona hamtendei haki Bashite? Maana haki yake ya kutumbuliwa hajampa
 
Kumbukumbu zangu zinanionesha wapo waliotumbuliwa tukalalamika lakini baada ya ukweli ukabainika bayana kuwa hawakuonewa badala yake tumebaini kuwa walitumbuliwa kwaushihi.

Mfano Mwele Malecela aliyetangaza kuwa Tanzania imevamiwa na ugonjwa wa zika lakini serikali ikaweka msimamo nakuonesha ukweli kuwa hakuna ugonjwa huo,ambapo sote tumebaini mpaka leo hakuna huo ugonjwa kwahiyo Mwele alipotosha umma na kutia hofu kwa kitu ambacho hakikuwepo ndiyo maana alitumbuliwa.

Pili alitumbuliwa Anna Kilango kwa kudai kuwa Shinyanga haikuwa na watumishi hewa lakini ikaonekana kulikuwa na watumishi hewa wengi sana.Lakini pia ametumbuliwa katibu mkuu nishati kwa kutoa tarifa ambazo siyo sahihi kuhusu mchanga wenye madini unaosafirishwa kwenda mataifa ya kigeni.

Ifike mahala tukubali kuwa JPM hajui kumuonea mtu bali hufuata taratibu zote mpaka anamtumbua mtu.
KICHWA PANZI KA BASH......
 
Hao ndio wote waliotumbuliwa?

Unajua kitu kinaitwa "due process"?

Unajua kwamba hata kama mtu kakosea, kumtumbua bila due process ni kumuonea?
hakunaga hiyo process unayosema. mteule wa rais anaweza tolewa kwenye nafasi yake na rais mda wowote, hata kama hakuna sababu yeyote, kwa mujibu wa katiba.

wanaohitaji sheria za kazi kufuatwa ni waajiriwa wa serikali, waalimu, madaktari, manesi, nk nk..... lakin si wateule wa raisi.
 
hakunaga hiyo process unayosema. mteule wa rais anaweza tolewa kwenye nafasi yake na rais mda wowote, hata kama hakuna sababu yeyote, kwa mujibu wa katiba.

wanaohitaji sheria za kazi kufuatwa ni waajiriwa wa serikali, waalimu, madaktari, manesi, nk nk..... lakin si wateule wa raisi.
Unaelewa "due process" maana yake ni nini?

Rais anaweza kutengua kimantiki bila uchunguzi?

Unafahamu kwa nini JK alikuwa hatengui watu?

Unafahamu kwamba Magufuli aliidhalilisha taasisi ya urais kwa kujionyesha anapewa taarifa jukwaani na Makonda na kumtumbua yule bosi wa jiji hapo hapo kabla hata ya kufanya uchunguzi wake yeye mwenyewe?

Unafahamu kwa watu wanaoangalia mambo kwa undani tulishaona kwamba Makonda anamuendesha Magufuli kwa remote control hata kabla ya hizi habari za Bashite kuzuka?
 
Kumbukumbu zangu zinanionesha wapo waliotumbuliwa tukalalamika lakini baada ya ukweli ukabainika bayana kuwa hawakuonewa badala yake tumebaini kuwa walitumbuliwa kwaushihi.

Mfano Mwele Malecela aliyetangaza kuwa Tanzania imevamiwa na ugonjwa wa zika lakini serikali ikaweka msimamo nakuonesha ukweli kuwa hakuna ugonjwa huo,ambapo sote tumebaini mpaka leo hakuna huo ugonjwa kwahiyo Mwele alipotosha umma na kutia hofu kwa kitu ambacho hakikuwepo ndiyo maana alitumbuliwa.

Pili alitumbuliwa Anna Kilango kwa kudai kuwa Shinyanga haikuwa na watumishi hewa lakini ikaonekana kulikuwa na watumishi hewa wengi sana.Lakini pia ametumbuliwa katibu mkuu nishati kwa kutoa tarifa ambazo siyo sahihi kuhusu mchanga wenye madini unaosafirishwa kwenda mataifa ya kigeni.

Ifike mahala tukubali kuwa JPM hajui kumuonea mtu bali hufuata taratibu zote mpaka anamtumbua mtu.

Mbona home boy wake hajamtumbua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom