Wengi wetu tunajua harakati za kila aina zinazofanywa na baadhi ya watu kumdhihaki JPM.
Nimeamini bila shaka kwamba JPM alikuwa moto wa kuotea mbali.
Ebu fikiri, watu wazima walio hai wanaunda hadi mkakati maalumu wa kumchafua JPM aliyezikwa kaburini.
Ni sawa na mtu aliyefungwa kichwa, miguu na mikono kwenye mti halafu linajitokeza kundi la watu linaanza kumshambulia mtu huyo. Hiyo si aibu kubwa kabisa ya kiwango cha Kimataifa?
Nilichogundua ni kwamba, JPM alikuwa ni MOTO wa Nyuklia.
Shida iliyopo sasa ni kwamba, wote waliotofautiana na JPM bado wanamwogopa hata kama amezikwa.
Mbaya zaidi, hata baadhi ya waliopo madarakani bado wanamwogopa, hivyo wanashindwa kujiamini.
Atukuzwe Mungu aliyetuletea JPM ili atuoneshe njia ya kweli.
Nimeamini bila shaka kwamba JPM alikuwa moto wa kuotea mbali.
Ebu fikiri, watu wazima walio hai wanaunda hadi mkakati maalumu wa kumchafua JPM aliyezikwa kaburini.
Ni sawa na mtu aliyefungwa kichwa, miguu na mikono kwenye mti halafu linajitokeza kundi la watu linaanza kumshambulia mtu huyo. Hiyo si aibu kubwa kabisa ya kiwango cha Kimataifa?
Nilichogundua ni kwamba, JPM alikuwa ni MOTO wa Nyuklia.
Shida iliyopo sasa ni kwamba, wote waliotofautiana na JPM bado wanamwogopa hata kama amezikwa.
Mbaya zaidi, hata baadhi ya waliopo madarakani bado wanamwogopa, hivyo wanashindwa kujiamini.
Atukuzwe Mungu aliyetuletea JPM ili atuoneshe njia ya kweli.