Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,184
- 3,517
Ukimwi ni Mind set hakuna ugonjwa unaitwa Ukimwi.Ukimwi upo endelea kutembeza govi lako nje utakutana nao.
Hayo mashirika ya kupambana na UKIMWI usione yapo Afrika kutafuta madini au chokaa.
Ukimwi ni Mind set hakuna ugonjwa unaitwa Ukimwi.Ukimwi upo endelea kutembeza govi lako nje utakutana nao.
Hayo mashirika ya kupambana na UKIMWI usione yapo Afrika kutafuta madini au chokaa.
Ukimwi ni Mind set hakuna ugonjwa unaitwa Ukimwi.
Soma semi hizi ndiyo ushauri wangu kwako Mkuu:-
1. Mshumaa husaidia kutoa mwanga, lakini huku unateketea. Hii inaitwa huruma ya mshumaa. Kama inafaa endelea...
2. Huwezi kunywa sumu mwenyewe alafu utegemee afe mtu mwingine. Sumu ulizokunywa zilikuwa "harmless" na uhakika ukiendelea na tabia hiyo ipo siku utakipata unachokitafuta.
3. Huwezi kuvuka daraja kabla hujalifikia. Huwezi kuwa na UKIMWI kama hujaupata.
4. Kila mtu ni kilema mtarajiwa. Ingawa siyo lazima ukipate ktk maisha yako.
5. Kama hujui kufa tazama kaburi. Kama huna UKIMWI/HIV tazama wenye UKIMWI/HIV. Hapa utapata majibu mazuri tu kama upo au haupo.
Mbona haujanijibu sasa?Ule ugonjwa ni mbaya sana...kama huna uzidi kumshukuru Mungu na kuacha uzinzi basi
Mkuu kuna hosp Dr ndiyo anakupa majibu, mfano Marie Stopes Mwenge Lab hawatoi majibu ni Dr tu ndiyo anaekupa.Kupima ukimwi Dr anapata wapi muda wa kukupa majibu? Hizo ni issue za lab technician acha kupiga watu fix Son.
Wapi sweetheart?Mbona haujanijibu sasa?
Pamoja Mkuu....Mkuu nimekusoma vizuri!! Asanteee kwa ujumbe mzuri sana
MmmmmhWapi sweetheart?
mashine ikiloa aina shida unasukuma tuu ila usikamie sana mamaeeTomb@ tuu mwana ukimwi hadithi za wagalatia hizo...