Ukimwi means Upungufu wa Kinga Mwilini.
Unaweza ukaugua malaria ukawa na Ukimwi.
Elimu ndogo sana juu ya hili neno UKIMWI.
Ila virusi vinavyoweza kusababisha hiyo hali vipo sana tusidanganyane.
Ila omba visikupate.
Komaa sasa,saiv utaupataYaan tokea mwaka 2003 nilipotambua utamu fulani, ikabidi nizichezee tamu za watu, sweet part of their bodies,
Niwe mkweli huwa sipendi kutumia mpira,
Nimetembea na Barmaid wawili bila kinga,
Nilienda uhuru peak zamani nikatembea na changudoa kondom ikapasuka,
Kibaha nimekutana na mwanamke anaitwa ***** anauza hotel wanasema ni hatari lakin nilimpitia, bila kinga
January mwaka 2010 nilitembelea mafinga iringa kwa muda mrefu nimekaa sana nika watoto bila kinga kabisa, ni matatizo,
Sasa juzi imetokea kikazi fumani.cha wazungu katika medical report wanataka na HIV status aiseeeeee nilitamani niachane na kazi hiyo lakin nilipochek mshahara wake mkubwa sana alafu nina madeni kibao, ikabidi nikubali kupima,
Daktari alivyosema hauna UKIMWI nilimwangalia nkadhani mwongo, dah
Aisee UKIMWI hakuna haki kama.mimi sina
Bengi muno naiwe nkaba nimanya olyo mhindikumbe omu ababukoba ni beingi mno pamoja na Britanica
Unautaka e badala ya kushukur unajisifuYaan tokea mwaka 2003 nilipotambua utamu fulani, ikabidi nizichezee tamu za watu, sweet part of their bodies,
Niwe mkweli huwa sipendi kutumia mpira,
Nimetembea na Barmaid wawili bila kinga,
Nilienda uhuru peak zamani nikatembea na changudoa kondom ikapasuka,
Kibaha nimekutana na mwanamke anaitwa ***** anauza hotel wanasema ni hatari lakin nilimpitia, bila kinga
January mwaka 2010 nilitembelea mafinga iringa kwa muda mrefu nimekaa sana nika watoto bila kinga kabisa, ni matatizo,
Sasa juzi imetokea kikazi fumani.cha wazungu katika medical report wanataka na HIV status aiseeeeee nilitamani niachane na kazi hiyo lakin nilipochek mshahara wake mkubwa sana alafu nina madeni kibao, ikabidi nikubali kupima,
Daktari alivyosema hauna UKIMWI nilimwangalia nkadhani mwongo, dah
Aisee UKIMWI hakuna haki kama.mimi sina
Mjomba wangu alikua naye anadhani ni hadithi tu,acha umbane huo UKIMWI,ARVs ndiyo zimefanya nikamkuta la sivyo nisingemkuta.Naogopa UKIMWI sana hatakama dawa zakufubaisha zipo.Tomb@ tuu mwana ukimwi hadithi za wagalatia hizo...
chei ndi mnyambo chonja nkulile Muleba,bulaya mgumile?Bengi muno naiwe nkaba nimanya olyo mhindi
Ule ugonjwa ni mbaya sana...kama huna uzidi kumshukuru Mungu na kuacha uzinzi basiMjomba wangu alikua naye anadhani ni hadithi tu,acha umbane huo UKIMWI,ARVs ndiyo zimefanya nikamkuta la sivyo nisingemkuta.Naogopa UKIMWI sana hatakama dawa zakufubaisha zipo.
Ule ugonjwa ni mbaya sana...kama huna uzidi kumshukuru Mungu na kuacha uzinzi basi
Soma semi hizi ndiyo ushauri wangu kwako Mkuu:-Yaan tokea mwaka 2003 nilipotambua utamu fulani, ikabidi nizichezee tamu za watu, sweet part of their bodies,
Niwe mkweli huwa sipendi kutumia mpira,
Nimetembea na Barmaid wawili bila kinga,
Nilienda uhuru peak zamani nikatembea na changudoa kondom ikapasuka,
Kibaha nimekutana na mwanamke anaitwa ***** anauza hotel wanasema ni hatari lakin nilimpitia, bila kinga
January mwaka 2010 nilitembelea mafinga iringa kwa muda mrefu nimekaa sana nika watoto bila kinga kabisa, ni matatizo,
Sasa juzi imetokea kikazi fumani.cha wazungu katika medical report wanataka na HIV status aiseeeeee nilitamani niachane na kazi hiyo lakin nilipochek mshahara wake mkubwa sana alafu nina madeni kibao, ikabidi nikubali kupima,
Daktari alivyosema hauna UKIMWI nilimwangalia nkadhani mwongo, dah
Aisee UKIMWI hakuna haki kama.mimi sina
Missh-yu mtakatifuAngalia kijana one day utalikwaa.
Jaribu kuilinda
Yaan tokea mwaka 2003 nilipotambua utamu fulani, ikabidi nizichezee tamu za watu, sweet part of their bodies,
Niwe mkweli huwa sipendi kutumia mpira,
Nimetembea na Barmaid wawili bila kinga,
Nilienda uhuru peak zamani nikatembea na changudoa kondom ikapasuka,
Kibaha nimekutana na mwanamke anaitwa ***** anauza hotel wanasema ni hatari lakin nilimpitia, bila kinga
January mwaka 2010 nilitembelea mafinga iringa kwa muda mrefu nimekaa sana nika watoto bila kinga kabisa, ni matatizo,
Sasa juzi imetokea kikazi fumani.cha wazungu katika medical report wanataka na HIV status aiseeeeee nilitamani niachane na kazi hiyo lakin nilipochek mshahara wake mkubwa sana alafu nina madeni kibao, ikabidi nikubali kupima,
Daktari alivyosema hauna UKIMWI nilimwangalia nkadhani mwongo, dah
Aisee UKIMWI hakuna haki kama.mimi sina
Tatizo liko kwenye vipimo,undefinedundefinedkuna malaya wengi tu wapo tangu miaka ya 80,wanadunda tu,undefinedkwa kasi ya ngono,ukimwi ungeshaua nusu ya watu mpaka sasa,undefinedkina jacobo zuma wanajua vizuri sana habari hii ya ukimwi