Nimeambiwa nilipie 5000 kupata loss report, Jeshi la Polisi Mungu anawaona

Stationery umelipia Loss Report au Service ya kukujazia hio Loss Report na Kuiptint ?

Hakuna Bei elekezi Stationery angeweza hata kukupa bure au kwa laki moja
 
😂😂😂 huwa najiuliza polisi wanacheza na mfumo ili wale cha juu . Ishawahi kunitokea na mimi pia nilijaribu mwenyewe ikachukua siku ila kwenda stationary karibu na kituo cha polisi haikichukua ata nusu saa nikauliza kwa dada wa stationary akasema kuna mtu pale kituoni anajuana nae kwahyo mambo chap tu kwenye mfumo anathibitisha manually.Sasa sijajua huu mfumo uliwekwa kwa dhima gani maana vitu haviendi bila mtu kati na sio tena automated process
Nilichogundua watanzania wengi bado ni mambumbumbu, unakuta mtu anajiita msomi lakini kichwani ni bure kabisa, mfano hii ishu ya loss report ipo online na hii ni kwasababu ya kuipata control number ili uilipie 500 na ni kwasababu malipo yote ya serikali yanalipwa kwa kupitia control number, sasa polisi wamerahisisha kuliko kujazana polisi kuitafuta hii control number wameona waiweke online ili kila mtu angie na kujaza mwenye. Hii loss report ukishaijaza kama umetumia number yako ya nida inaweza kupita bila kwenda polisi kwenda kuthibitisha lakini kama umetumia vitambulisho vingine tofauti na nida report yako itakubidi ukaithibitishe polisi. Sasa hapa wengi ndiyo wanafikiri polisi wanachezea mfumo, mfano umeona huyo mdada wa stationary
alivyo kufanyia wewe unafikiri ni michezo, huyo mdada kajiongeza tu kwa sababu ya biashara yake.
Pia wabongo wengi ni waongo unakuta mtu kapoteza vitu vingi anaenda stationary kutengeneza loss report vitu vyote alivyo poteza vikiwekwa kwenye loss report na kuviprint cost yake lazima iwe kubwa sasa mtu bila kuelewa analalama na polisi.
 
Nilichogundua watanzania wengi bado ni mambumbumbu, unakuta mtu anajiita msomi lakini kichwani ni bure kabisa, mfano hii ishu ya loss report ipo online na hii ni kwasababu ya kuipata control number ili uilipie 500 na ni kwasababu malipo yote ya serikali yanalipwa kwa kupitia control number, sasa polisi wamerahisisha kuliko kujazana polisi kuitafuta hii control number wameona waiweke online ili kila mtu angie na kujaza mwenye. Hii loss report ukishaijaza kama umetumia number yako ya nida inaweza kupita bila kwenda polisi kwenda kuthibitisha lakini kama umetumia vitambulisho vingine tofauti na nida report yako itakubidi ukaithibitishe polisi. Sasa hapa wengi ndiyo wanafikiri polisi wanachezea mfumo, mfano umeona huyo mdada wa stationary
alivyo kufanyia wewe unafikiri ni michezo, huyo mdada kajiongeza tu kwa sababu ya biashara yake.
Pia wabongo wengi ni waongo unakuta mtu kapoteza vitu vingi anaenda stationary kutengeneza loss report vitu vyote alivyo poteza vikiwekwa kwenye loss report na kuviprint cost yake lazima iwe kubwa sasa mtu bila kuelewa analalama na polisi.
Mkuu mimi huwa sina kitambulisho kingine zaidi ya NIDA lakini nililipia mwenyewe hivyo vitu ila shida niliipata inabidi uelewe kama halijakukuta tulia usilaumu watu ni kuwa ni wavivu
 
Nilipoteza kitambulisho changu cha ajabu nilienda kituo cha polisi nikafata loss report maana nafahamu ni 500 tu

Cha ajabu naambiwa niende stationery ya nje kufika naambiwa ni elfu tano za Kitanzania.

Hawa jamaa sijui wakoje. Loss report ni mfupa ulomshinda Sirro, nadhani IGP mpya aje na utaratibu wa kulitazama hili

UPDATE: Kuna watu humu wananitukana kabisa kwanini sikulipia online??Hivi mnajua online yao inachukua hata week mbili?Ni wangapi wamewahi kulipia halafu mwishowe system ikawaambia hujalipia?Mpaka nimeenda polisi ujue system yao imenigoma wakati nimelipia kabisa, kabla hamjacomment uzi hebu control ubongo wako kwanza!!
Hivi ni lazima uwalaumu Polisi hata kama hawahusiki?
Kupakua loss report ni rahisi tu haina tofauti na salary slip Kwa Sasa. Wewe ulichofanya ni Kila kitu kufanywa na Mtu wa stationery badala ya kufanya mwenyewe kwenye simu na kisha kuprint stationery.
 
Nilipoteza kitambulisho changu cha ajabu nilienda kituo cha polisi nikafata loss report maana nafahamu ni 500 tu

Cha ajabu naambiwa niende stationery ya nje kufika naambiwa ni elfu tano za Kitanzania.

Hawa jamaa sijui wakoje. Loss report ni mfupa ulomshinda Sirro, nadhani IGP mpya aje na utaratibu wa kulitazama hili

UPDATE: Kuna watu humu wananitukana kabisa kwanini sikulipia online??Hivi mnajua online yao inachukua hata week mbili?Ni wangapi wamewahi kulipia halafu mwishowe system ikawaambia hujalipia?Mpaka nimeenda polisi ujue system yao imenigoma wakati nimelipia kabisa, kabla hamjacomment uzi hebu control ubongo wako kwanza!!
Jaza fomu afu ka download kwenye mtandao.Wa stationery wanafanya biashara lazima wakupige.
 
Nilipoteza kitambulisho changu cha ajabu nilienda kituo cha polisi nikafata loss report maana nafahamu ni 500 tu
Cha ajabu naambiwa niende stationery ya nje kufika naambiwa ni elfu tano za Kitanzania.

Hawa jamaa sijui wakoje. Loss report ni mfupa ulomshinda Sirro, nadhani IGP mpya aje na utaratibu wa kulitazama hili

UPDATE: Kuna watu humu wananitukana kabisa kwanini sikulipia online??Hivi mnajua online yao inachukua hata week mbili?Ni wangapi wamewahi kulipia halafu mwishowe system ikawaambia hujalipia?Mpaka nimeenda polisi ujue system yao imenigoma wakati nimelipia kabisa, kabla hamjacomment uzi hebu control ubongo wako kwanza!!
kweli kwa njia ya mtandao inagoma,

hii inafanana na pale kawe
 
5000 ni nyingi kwa kupata loss report tu... ila fikiria kupata loss report ya police physical unatakiwa kuwa na : Passport size 2, form mbili ambazo hizo utazipata stationery na Tsh 500 ya malipo ya control number kumbuka sio kila kituo cha polisi kina toa loss report ni vile vituo vikubwa mara nyingi (watu walio wengi ina wacost 500-1000 nauli ya daladala na au Mafuta ya gari kwajili ya mizunguko ya siku hiyo) tuseme hivyo vitu vyote tajwa havipo ndani ya bahati yako:
ita cost wewe Tsh=
1. passport size 2000/=
2. hotocopy 200
3. nauli 1500/=
4. mda = hapa kila mtu anajua gharama ya mda wake
hizi tabu zoote zimemepungunzwa kwa kutakiwa wewe upakue form online tu na ukifwata taratibu zoote mambo yanakuwa simple au kama huwezi basi mtu afanyekwa niaba yako sasa ndipo linapokuja swala la biashara ni makubaliano kati yako na Mtu wa stationery yaweza kuwa Bure...1000/5000 ata laki ni Wewe na yeye Polisi wanausika vipi????
 
Nilipoteza kitambulisho changu cha ajabu nilienda kituo cha polisi nikafata loss report maana nafahamu ni 500 tu

Cha ajabu naambiwa niende stationery ya nje kufika naambiwa ni elfu tano za Kitanzania.

Hawa jamaa sijui wakoje. Loss report ni mfupa ulomshinda Sirro, nadhani IGP mpya aje na utaratibu wa kulitazama hili

UPDATE: Kuna watu humu wananitukana kabisa kwanini sikulipia online??Hivi mnajua online yao inachukua hata week mbili?Ni wangapi wamewahi kulipia halafu mwishowe system ikawaambia hujalipia?Mpaka nimeenda polisi ujue system yao imenigoma wakati nimelipia kabisa, kabla hamjacomment uzi hebu control ubongo wako kwanza!!

5000 tu unakuja hadi kuanzisha uzi????
 
Back
Top Bottom