Hawezi sio mbichi ameungua so hawezi kutoa supuMpike supu kula na MACHAPATI
Basi fukunyualakini alimwambia jamaa yang sio mm
phala kweli, basi piga kavu af usimeze Pepe, then baadae uanze dozipep nasikia zinazingua sana
Endeleawakuu leo nilikua kiwanja fulani hapa kitaa na washikaji tukipata 1 moto 1 baridi...katika zoezi hilo kuna mhudumu mmoja alimfata jamaa yang kipind naangalia mpira ye akipiga vyombo kua ananielewa...nimemaliza kuchek mech nikakuta kidem kinanisubiri...nikaongea nacho tukajuana then nikamwambia sa6 tukutane nifanye mambo kikasema sawa..sasa bado saa 1 na kidogo nikutane nae then kuna broo mwenye hiyo pub aliwahi mueleza jamaa yang manzi anatumia dozi na yeye kaniambia asaiv..Je niendelee na mpango wangu wa kumtafuna au nisitishe kisa jamaa kasema ameungua?
Hamna Kinachotokea Naona Unajitoa Ufahamukwani ukimtafuna aliyeungua na wewe unaungua mkuu!
wakuu leo nilikua kiwanja fulani hapa kitaa na washikaji tukipata 1 moto 1 baridi...katika zoezi hilo kuna mhudumu mmoja alimfata jamaa yang kipind naangalia mpira ye akipiga vyombo kua ananielewa...nimemaliza kuchek mech nikakuta kidem kinanisubiri...nikaongea nacho tukajuana then nikamwambia sa6 tukutane nifanye mambo kikasema sawa..sasa bado saa 1 na kidogo nikutane nae then kuna broo mwenye hiyo pub aliwahi mueleza jamaa yang manzi anatumia dozi na yeye kaniambia asaiv..Je niendelee na mpango wangu wa kumtafuna au nisitishe kisa jamaa kasema ameungua?
😅😅😅😅😅 hizo Pep anaweza acha ndani ya siku 2uza mechi dadeki, kesho ukachukue PeP mambo safi kabisa, pep si zipo bana