Nime install app ya X (Twitter) lakini haifunguki. Msaada

Nime install app ya X (Twitter) lakini haifunguki. Msaada

download turbo vpn install then iweke on ikigoma njoo nikupe hela. X wameifungia tanzania sababu most of the news wanamsema mamamdogo hafai kuwa kubwa la maadui anafaa kuwa malkia wa michambo hukooo kwao...
 
Nashindwa kuelewa kwanini app hii inaishia ku loading sana bila kufunguka? Au bado imefungiwa?
Hiyo mpaka uwe support VPN app ndio inafunguka, mengine utajuana nayo huko huko
20250831_000325.jpg
 
Back
Top Bottom