kikahe
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 1,350
- 282
Hahahahahahahaha!Mwanamke hapigwi,anapewa hela
Hahahahahahahaha!Mwanamke hapigwi,anapewa hela
mwanamke pasipo kumpga dharau zinazidi kupindukia, tena hawa me washanichanganya wala sina hamu nao, kwa zile fujo zao!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kipo wapi sasa mbona sikuelewi ?
Is not right at all.me cjaona kigeni ktk sifa ulizotoa kuhusu wanawake, ni zile zile za siku zote. Na kuhusu mwanamke kupigwa ni lazima maana hawa viumbe usipo wapiga wanakuona bwege na utasonkorwa pia!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimuona mwanaume anapiga mke, jua wazi huyo mwanaume anashida..tena sio ndogo.
Unamaaanisha nini mkuu?Ukimuona mwanaume anapiga mke, jua wazi huyo mwanaume anashida..tena sio ndogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaachaje kupigwa kwa akili kama hiziMwanamke hapigwi,anapewa hela
mi sio fundi
Ukimuona mwanaume yoyote anampiga mwanamke wake. Normally hiko ni kipimo cha kuziilisha kwamba, huyo mwanaume ajawa matured enough kwenye mfumo wake wa intelligence Q. Ambao ndio nguzo pekee ya kumfanya mwanaume yoyote yule, aweze kuitwa MUME BORA/KICHWA BORA CHA FAMILIA, kutokana na jinsi anavyo handle familia yake.
Kuna watu wawili bado sijawaona hapa..I think hawajauona UziUkimuona mwanaume yoyote anampiga mwanamke wake. Normally hiko ni kipimo cha kuziilisha kwamba, huyo mwanaume ajawa matured enough kwenye mfumo wake wa intelligence Q. Ambao ndio nguzo pekee ya kumfanya mwanaume yoyote yule, aweze kuitwa MUME BORA/KICHWA BORA CHA FAMILIA, kutokana na jinsi anavyo handle familia yake.
Maana mwanaume hadi uitwe baba bora mwenyewe nyumba, sio tu ile nafasi yako ya kurudi nyumbani na mazagazaga. Bali pia ni ule uwezo wako wa kuihandle familia yako, bila kutumika kwa nguvu ya mabavu. Daily huwa nawaambia watu, jamani mwanamke ni sawa na mtoto tu, hivyo kuna mechanisms zao za kuzitumia kuwaendo na wala sio kutumia mabavu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapema sana.Mwanamke hapigwi,anapewa hela
kumkabidhi pesa si tatizo,, tatizo ni pale kwenye kutekeleza majukumu,, kama ni selfish then expect nothing sababu atajijali zaidi yy but kama ana mapenzi ya kweli ataitunza family perfectly