Nilizaliwa 08/08 tukiwa mapacha

Nilizaliwa 08/08 tukiwa mapacha

Chozilaurithi

Senior Member
Joined
Apr 13, 2018
Posts
120
Reaction score
55
Ndg zangu leo ni siku yangu ya kuzaliwa tulizaliwa mapacha kwa bahati mbaya mwenzangu alinitoka akiwa katika hatua ya kutembea nimekaa hapa nikimuwazia sana kwa uchungu kwa maana angekuwepo hadi leo tungeifurahia sote siku yetu pendwa yenye nane nane mbili nasi tukiwa wawili
 
Pole sana mkuu, sote tu njia moja, ametangulia nasi wakati ukifika tutafuata.
 
Pole sana mkuu, huwa inauma sana kunapokua na kumbukumbu yenye maumivu katika siku muhimu kama ya Leo (talking from experience).

Ila Mungu ndiye mpangaji wa yote na hatuna budi kushukuru.
Happy born day Mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom