HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,081
Nikikumbuka miaka hiyo jkt ni jkt kweli saivi imechuja sana
Sent from my Pixel 6 Pro using JamiiForums mobile app
Sent from my Pixel 6 Pro using JamiiForums mobile app
Acha tu. Mimi mtoto wa kiume nitampeleka lakini wa kike hapana. Wengi hawawezi kuvumilia huwa wanavuliwa chupi mno. Huwa nakumbuka nacheka how i survived those weeks without sleep. Many think they use weed but sleepless nights are enough weed for any human brain. Thou, i miss those people. I met 2,000 strong new people. I wish tungekua na nafasi ya kutembelea tena nikapaone Kanembwa. Ule uwanja wa damu, messini, shambani, bustani za mboga na american village. Have got a lot of sweet memories and damn bitter-one.Kule ni nusu kuzimu😄
Kumbe kila kambi ina uwanja wa damu!Acha tu. Mimi mtoto wa kiume nitampeleka lakini wa kike hapana. Wengi hawawezi kuvumilia huwa wanavuliwa chupi mno. Huwa nakumbuka nacheka how i survived those weeks without sleep. Many think they use weed but sleepless nights are enough weed for any human brain. Thou, i miss those people. I met 2,000 strong new people. I wish tungekua na nafasi ya kutembelea tena nikapaone Kanembwa. Ule uwanja wa damu, messini, shambani, bustani za mboga na american village. Have got a lot of sweet memories and damn bitter-one.
Mimi niliwakataza binti wa dada zangu wasiende huko.lakini kuna watu watakupinga
nadhani alikuwa ana maanisha INTELLIGENCE OFFICERS... au {I.O}
Acha tu, tena kambi za kigoma wanaletwa wale manunda. Siku moja usiku tulienda kumsalimia mgonjwa hospitali. Mwendo Marwa aliotupeleka nao kila nikikumbuka mwili huwa unasisimka. Unaroll usiku wa manane kwenda kumtembelea mgonjwa. Kuna fimbo za kumwaga ukiwa nyuma. Nimesharoll mpaka mikono haina nguvu kabisa. Nikageuza mgongo nilijivuta kwa kasi ambayo sijui leo kama naiweza tena.Kumbe kila kambi ina uwanja wa damu!
Nikadhani ni kambi yetu tu
Basi usingerudi.. walioenda mujibu walirudi na stori kwamba at the end mnaulizwa nani anataka kubaki? Au walikuwa wanatudanganya?
Huwa sielewi kuna uhusiano gani kati ya jeshi na physics, mathematics na Chemistry!sio uongo kuna cozi ambazo zinahitajika sana jeshini kama walio soma physics, chemistry na mathematics...wanapataga bahati ya kubaki kwa kuombwa🤣🤣🤣
Nipo restaurant nacheka aisee. Sisi kwata tulijifunza zile wiki za six week mchana. Wiki ya kwanza watu walianguka vya kutosha maana damu ilikua haiendi kwenye ubongo. Kwata ya passing squire tulikua kombania ya pili. Ila maksi za usafi zilitubeba. Hanga letu lilikua zuri. Kuna hao eagle coy hanga ni kama yale madarasa yaliyojengwa 1970. Hata wasafishe vipi bado tu walishika mkia siku ya passing squire.SEHEMU YA 10
VITENGO
Jeshi kuna vitendo vingi kama Ngoma coy, Kwata, karate na kitengo cha kazi mchanganyiko
Kipindi cha kupewa vitengo ukawadia sasa hapa nitaanza kuelezea kitengo kimoja hadi kingine sababu vyote nilipita, nilipita ila sio kwa kupenda ni vile tu maswahibu yaliniandama.
1. KWATA
Service man walituambia siku ya graduation kuna watu hawatovaa kombat na mabuti "Nyie fikirieni mtu yupo kitengo cha kazi mchanganyiko siku ya gradu avae kombati ya nini? Ila ukiwa kwata kombati lazima uvae, tena nyie ndo mnaanza kupewa" akasema
"Ooh! Kumbe kwata kuna kuvaa kombati na mabuti ya jeshiii! Hicho kitengo ndo nakitaka" hapo namwambia Anna
Anna akasema mimi nitaenda ngoma coy kwata siwezi. Mimi kwata ilinishinda tokea kombania usiku tulivyokua tunafundishwa lakini nikasema acha niende ili nivae kombati siku ya graduu....
Wa kwata tukaambiwa tupange mistari uelekeo uwanja wa nyuma ya jeshi! Nimeusahau jina lake. Tunaenda kwa kuchapa mkono bega la kushoto umelikaza😄
Hao tukaanza kutembea huku tunachapa! Chapa chapa... mpaka tukafika.
Tukaekwa kimakundi, nikaangukia kundi la Afande nampa jina afande mzee sababu age ilikua imeshamtupa mkono.
Akaanza kutupa intro pale halafu akasema kupima uwezo wenu, wote tulale tumbo juu tuangalie jua hakuna kukwepesha macho.
Ule uwanja una jua kalii kichizi! Tukitoka kambini hali ya hewa nzuri tukiingia ule uwanja jua kali kinoma.
Kuruta tumelala macho juu! Ole wako ujile kazi unayo
Macho hadi yanatoa machozi watu tunakodorea jua.
Baada ya hapo kazi ikaanza
"Kwa mwendo wa pole mbele tembeaaa...
Nyuma geuka....
Mbele geuka kushota geuka....
Aya chap mguu..."
Wazee tunapiga kwata!!
Mwanzoni wengi tulikua nanga, afande mzee akawa anatuelekeza kwa upole pale, kadri muda unaenda mananga yanapungua ila mimi nilikua nanga pro...
Kuchapa mkono sijui, mguu siwezi!
Afande mzee ananiambia "kaza tako hilo mwendo wa polepole chapa mkono kwa ukakamavu"
Ikafika muda hadi mabao nikawa nakula
Hapo nilijuta nikasema kwata siwezi! Bora nihame kitengo
Muda wa kwata umeisha afande mzee akaniambia "kesho nisikuone kwenye kundi langu, sitaki mananga mimi"
😄😄Nilijisikia unyonge ila nikasema nakaza hukuhuku kwata! ili nivae kombati siku ya graduu.....
Usiku muda wa kombania service man akawa ananielekeza kwata pale kidogo nikapata mwanga nikasema kesho nitaweza.
Kweli bhana kesho nikawa nimejitahidi afande mzee akaridhika niendelee kubaki kundi lake.
Mpaka siku ya tatu wiki haijaisha style nyingi za kwata tukawa tumefundishwa, hapo mzozo kwangu ukaanza.
Nilikua nachanganya madensa.
Ikitajwa style hii mimi nafanya style nyingine.
" kuruta wewe hama kitengo kabla muda haujaenda! Kama kombati utavaa hata lililochakaa, waziiii!?
Nikamwambia wazii Afande!
Safari yangu na kwata ikawa imeishia hapoo!
Wiki haijaisha kule kwenye kwata lakini mwili una mabadiliko mengi hii ilikua kwa wote sanasana wacheza kwata.
nikivua nguo mwili una alama mbili nyeusi na weupe
Sehemu iliyofunikwa na nguo kweupe rangi niliyotoka nayo nyumbani, sehemu ambayo inabaki wazi nikivaa imekua nyeusi kama mkaa! Uso wote mweusii shingo nusu nyeupe nusu nyeusi.
Itaendelea...
Muendelezo soma Niliyoyashuhudia Jeshini
Oh kumbe.. haikuwa ridhiki maybe.Sio kambi zote...
Ila pia walitaka watu wa Science Sana😅
True walikuwa hawajiachii tofauti na service men ambao walikuwa careless sanaKuna wale Usalama wa taifa.. wanajina lao nimelisahau..
Bakabaka walikuwa wanawaogopa hao maana ikigundulika kuwa mwanajeshi katembea na mujibu taarifa ikiwafikia nadhani walikuwa wanaadhibiwa kijeshi...
Umenikumbusha siku ya passing square aisee!Nipo restaurant nacheka aisee. Sisi kwata tulijifunza zile wiki za six week mchana. Wiki ya kwanza watu walianguka vya kutosha maana damu ilikua haiendi kwenye ubongo. Kwata ya passing squire tulikua kombania ya pili. Ila maksi za usafi zilitubeba. Hanga letu lilikua zuri. Kuna hao eagle coy hanga ni kama yale madarasa yaliyojengwa 1970. Hata wasafishe vipi bado tu walishika mkia siku ya passing squire.
Kwata ya passing out nilisema cha kujifia nini aisee. Nikahangaike na Bweigoge siku nzima? Hata, nilikua kitengo bustani aisee. Kule hadi raha saa nne tumeshanyeshea tunasubiria wa kwata watoke tule. Kuna siku tumekula saa kumi na moja chakula cha mchana maana Bweigoge mkuu wa kambi alikua anakagua gwaride yeye mwenyewe. Maafande walilaani kichizi. Hawakunywa chai wala lunch.
My big brother alikua ananiambia rudi huko nikwambambia simple, shall i change your birth certificate ili uender vyeti vyangu? Sio kwa sababu ya kulala ila I can not in good conscious go somewhere where i know for sure what they will do to me. I can face it if it is something unkown but not that what I already have a clue how it will be.Nilikaa week bila kulala na hii sababu inanifanya nisithubutu kurudi jeshi
Navyopenda mbonji
Ah wanabaki na mafundi na madokta 😂😂sio uongo kuna cozi ambazo zinahitajika sana jeshini kama walio soma physics, chemistry na mathematics...wanapataga bahati ya kubaki kwa kuombwa🤣🤣🤣
Kwani wewe ulienda bila details yoyote kabla?My big brother alikua ananiambia rudi huko nikwambambia simple, shall i change your birth certificate ili uender vyeti vyangu? Sio kwa sababu ya kulala ila I can not in good conscious go somewhere where i know for sure what they will do to me. I can face it if it is something unkown but not that what I already have a clue how it will be.
Usalama wa taifa au Military Police(MP)?
Nenda kasimulie wazee wenzakoSAMAHANI WADAU MBONA NAONA KAMA WENGI HUMU NI KAMA MMEZALIWA KUANZIA 1993???
SISI TULIOZALIWA 1970,S TUNA STORY ZETU TOFAUTI KABISA KUHUSU JESHI
kwaajili ya udereva wa ndege za kivita...pamoja na utengenezaji zana za kujilindia mabomu n.kAh wanabaki na mafundi na madokta 😂😂