Niliye mtongoza zamani ananitaka saizi

Niliye mtongoza zamani ananitaka saizi

Mpigamaji

Senior Member
Joined
Oct 24, 2018
Posts
152
Reaction score
243
Habari wadau wa JF,
Nikiwa sekondari (kidato cha 3) miaka 15 iliyopita nilimtongoza msichana aliyekua darasa moja nyuma yangu, hadi namaliza shule alikua amekubari lakin hakuwahi kuruhusu tupige show hata kushika maziwa tu alikua anagoma.

Advance shule zikawa maeneo jirani, lakini aligoma kuonana na mimi japo hta kwa salamu tu. Nilipofika chuo nikatafuta mwingine wakati yeye akiwa bado advance, huyu wapili hakuwa na shida za kuzingua tukawa tunapiga show za maana. Hadi yeye anamaliza chuo mwaka mmoja nyuma yangu tena bado sjawahi hata kuona brazia yake, lakin ndipo akajua kuwa nlishaanza uhusiano na mwingine, sjui kwa hasira au bahati mbaya hatukuwahi wasiliana tena hadi miaka kma mitatu iliyopita tukaanza kuwasiliana na nikajua tayari ameshapata mtoto.

Sasa amekuja kuniganda mwaka huu anataka tuendeleze mahusiano, na ipo siku alijirahisisha hadi nashow tukapiga. Akaeleza baba wa mtoto hayuko nae tena kaenda kuanzisha familia nyingine, mimi hadi saiz sjaoa bado, na nilishawaza kutafuta wa kuoa mwingine..... Je niendelee na plan ya kutafuta wa kuoa au nimchukue tu huyu, japo wazo la kuoa mwanamke mwenye mtoto tayari sikuwahi kuwa nalo.Ushauri wenu pls
 
Habari wadau wa JF,
Nikiwa sekondari (kidato cha 3) miaka 15 iliyopita nilimtongoza msichana aliyekua darasa moja nyuma yangu, hadi namaliza shule alikua amekubari lakin hakuwahi kuruhusu tupige show hata kushika maziwa tu alikua anagoma.

Advance shule zikawa maeneo jirani, lakini aligoma kuonana na mimi japo hta kwa salamu tu. Nilipofika chuo nikatafuta mwingine wakati yeye akiwa bado advance, huyu wapili hakuwa na shida za kuzingua tukawa tunapiga show za maana. Hadi yeye anamaliza chuo mwaka mmoja nyuma yangu tena bado sjawahi hata kuona brazia yake, lakin ndipo akajua kuwa nlishaanza uhusiano na mwingine, sjui kwa hasira au bahati mbaya hatukuwahi wasiliana tena hadi miaka kma mitatu iliyopita tukaanza kuwasiliana na nikajua tayari ameshapata mtoto.

Sasa amekuja kuniganda mwaka huu anataka tuendeleze mahusiano, na ipo siku alijirahisisha hadi nashow tukapiga. Akaeleza baba wa mtoto hayuko nae tena kaenda kuanzisha familia nyingine, mimi hadi saiz sjaoa bado, na nilishawaza kutafuta wa kuoa mwingine..... Je niendelee na plan ya kutafuta wa kuoa au nimchukue tu huyu, japo wazo la kuoa mwanamke mwenye mtoto tayari sikuwahi kuwa nalo.Ushauri wenu pls
Kama unamkubali chukua mzigo ila kabla ya yote(namaaanisha sex) hakikisha unaenda kumpima kila aina ya ugonjwa huyo binti na mimba pia.Akiwa fresh fanya yako..Bado unahitajika na familia yako na Taifa pia.Itakuwa ni waste ukifia mbele...no offence

#Muungwana_John
 
Aisee " kumbe mpaka kumkula umeshamkula !!!!
Hapo utajijua mwenyewe aise

Ila ningekuwa mimi ningemla then kitu ambacho kingefuata ni block na mikausho ya sanamu la posta

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahah mkuu hapa nilikua narudisha fidia ya nguvu zangu nilizotumia kumfatilia enzi hizo, maana inauma miaka zaidi ya mi 3 mtu hakuwahi hta kuonyesha ushirikiano buana
 
Aisee " kumbe mpaka kumkula umeshamkula !!!!
Hapo utajijua mwenyewe aise

Ila ningekuwa mimi ningemla then kitu ambacho kingefuata ni block na mikausho ya sanamu la posta

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yangekuwa mauaji ya kimbari kamanda. Sema kuna mademu wanaudhi kweli, ukimtaka serious anakukazia akienda kula za uso au akishapigwa goli anakuja kwako mbio mbio kama vile wewe ndio kiporo chake. Wajinga sana hawa wa hivi!
 
Hayo yangekuwa mauaji ya kimbari kamanda. Sema kuna mademu wanaudhi kweli, ukimtaka serious anakukazia akienda kula za uso au akishapigwa goli anakuja kwako mbio mbio kama vile wewe ndio kiporo chake. Wajinga sana hawa wa hivi!

Inakera kwa kweli, ndiyo maana sikuweza hata kataa alipo jirahisisha....maana maumivu ya miaka ya kumfatilia ilikua bado yako moyoni
 
Hayo yangekuwa mauaji ya kimbari kamanda. Sema kuna mademu wanaudhi kweli, ukimtaka serious anakukazia akienda kula za uso au akishapigwa goli anakuja kwako mbio mbio kama vile wewe ndio kiporo chake. Wajinga sana hawa wa hivi!
Yaani ningekuwa katika hali kama hii ya mtoa mada hicho ndio ambacho ningekifanya ". .. maybe kama angekuwa nimzuri " so ninge mfanya kuwa side chick tu " .. nothing at all

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau wa JF,
Nikiwa sekondari (kidato cha 3) miaka 15 iliyopita nilimtongoza msichana aliyekua darasa moja nyuma yangu, hadi namaliza shule alikua amekubari lakin hakuwahi kuruhusu tupige show hata kushika maziwa tu alikua anagoma.

Advance shule zikawa maeneo jirani, lakini aligoma kuonana na mimi japo hta kwa salamu tu. Nilipofika chuo nikatafuta mwingine wakati yeye akiwa bado advance, huyu wapili hakuwa na shida za kuzingua tukawa tunapiga show za maana. Hadi yeye anamaliza chuo mwaka mmoja nyuma yangu tena bado sjawahi hata kuona brazia yake, lakin ndipo akajua kuwa nlishaanza uhusiano na mwingine, sjui kwa hasira au bahati mbaya hatukuwahi wasiliana tena hadi miaka kma mitatu iliyopita tukaanza kuwasiliana na nikajua tayari ameshapata mtoto.

Sasa amekuja kuniganda mwaka huu anataka tuendeleze mahusiano, na ipo siku alijirahisisha hadi nashow tukapiga. Akaeleza baba wa mtoto hayuko nae tena kaenda kuanzisha familia nyingine, mimi hadi saiz sjaoa bado, na nilishawaza kutafuta wa kuoa mwingine..... Je niendelee na plan ya kutafuta wa kuoa au nimchukue tu huyu, japo wazo la kuoa mwanamke mwenye mtoto tayari sikuwahi kuwa nalo.Ushauri wenu pls
Wewe umeshamtafuna halafu unakuja kuomba ushauri!
Hakika nafsi yako imeshaamua cha kufanya na inaonekana kabida hapa jukwaani umekuja kutafuta back up tu.
 
Oa kama bado unampenda. But kama huna future nae mteme atakusumbua tu!
Haha yaani amuoe mwanamke ambaye alimmwaga awali ..Aise hiyo kwangu ni big no " .... huyo binti amedondokea kwa jamaa baada ya kupoteza na kuona kwamba ame cross out of the line na malengo yake aliyowahi kuwa nayo katika maisha yake " .... so ameamua kwenda kwa jamaa kama sehemu ya kujifariji na kupooza fukuto la majuto Ya maisha yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom