Hakuna mkubwa humu wote Mambo.
jamani hii kwel imenitokea nikiwa na miaka kama6 hv wakati naishi na shangazi angu R.I.P aunty nilikua kikojozi mno haipiti siku1 au2 naumwaga. sikuhio nimelala usiku ghafla nikashtuliwa na ki2 kinachezacheza kunako kiuno ile nashtuka nakuta chura mzima sio mdogo sana amefungwa katika papuch jaman
sio utani tokea mwaka ule hadi leo ni27 sijawah kukojoa kitandani.
naiman watoto wa ant kama wapo humu wataelewa ninacho sema.
we umeacha kwa stail gani
Hakuweka ndan alifungwa miguu yote minne. Kamba ikapita kiunon yeye akaka kwa mbele
Futa kauli
Wanawake na Maendeleao tufanye kazi tusonge mbele eeeeh