Niliwekewa chura kwenye papuchi il niache kukojoa

Rahabu

JF-Expert Member
Jan 21, 2014
5,525
3,316
Hakuna mkubwa humu wote Mambo.

Jamani hii kweli imenitokea nikiwa na miaka kama6 hivi wakati naishi na shangazi angu R.I.P aunty nilikua kikojozi mno haipiti siku1 au2 naumwaga.

siku hiyo nimelala usiku ghafla nikashtuliwa na kitu kinachezacheza kunako kiuno ile nashtuka nakuta chura mzima sio mdogo sana amefungwa katika papuchi jamani

Sio utani tokea mwaka ule hadi leo ni 27 sijawahi kukojoa kitandani.
Naimani watoto wa ant kama wapo humu wataelewa ninacho sema.

we umeacha kwa stail gani
 
Si wote humu udogoni walikua vikojozi. Kama sasa hivi umeacha shukuru Mungu.
 
Hakuweka ndan alifungwa miguu yote minne. Kamba ikapita kiunon yeye akaka kwa mbele
 
Hakuna mkubwa humu wote Mambo.
jamani hii kwel imenitokea nikiwa na miaka kama6 hv wakati naishi na shangazi angu R.I.P aunty nilikua kikojozi mno haipiti siku1 au2 naumwaga. sikuhio nimelala usiku ghafla nikashtuliwa na ki2 kinachezacheza kunako kiuno ile nashtuka nakuta chura mzima sio mdogo sana amefungwa katika papuch jaman
sio utani tokea mwaka ule hadi leo ni27 sijawah kukojoa kitandani.
naiman watoto wa ant kama wapo humu wataelewa ninacho sema.

we umeacha kwa stail gani

duh kumbe umepoteza bikra yako ukiwa mdogo hivyo?
miaka 6? aisee.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom