Nilivyoshuhudia uchawi wa chuma ulete

Chumaulete haiwagi na pesa nyingi.. Ikizidi kbisa ni mwekundu
Mkuu nilikua nasikia hivyo Ila hii nimeishuhudia nadhani huyu alikua anatumia uchawi Kama ya wafanya biashara ya maduka makubwa au migahawa unakwenda Kununua vitu vya elfu kumi unashangaa umemaliza elfu hamsini Dunia Pana mkuu na marifa Kama bahari hayana mwisho.
 
So alihama na kubeba kila kitu chake kasoro kileta pesa, au siyo
 
So alihama na kubeba kila kitu chake kasoro kileta pesa, au siyo
Ndio Ila namimi ilibaki kidogo niweke ngata yangu yamazabe Ila bimkubwa akaniambia aiwezi Fanya kazi kwakua yule dada tayari ana maagano na jini linalomuibia pesa
 
Hujachukua namba ya huyo dada aisee haya ndo mambo ya kushirikishana sio habari za kula kimashara
 
Ndio Ila namimi ilibaki kidogo niweke ngata yangu yamazabe Ila bimkubwa akaniambia aiwezi Fanya kazi kwakua yule dada tayari ana maagano na jini linalomuibia pesa
Embu tupe ushuhuda wa maisha yako hasa kiuchumi baada ya kuchukua zile hela kwenye ngata manake sio hela zako na pia sio hela za kawaida. Je ulipatwa na mushkeli wowote au upo vizuri tu tangu wakati ule?
 
Embu tupe ushuhuda wa maisha yako hasa kiuchumi baada ya kuchukua zile hela kwenye ngata manake sio hela zako na pia sio hela za kawaida. Je ulipatwa na mushkeli wowote au upo vizuri tu tangu wakati ule?
Sikupata mushkeli Ila shida ya pesa za namna Ile hazinaga baraka
 
Mshana Jr embu rudi hapa tuondolee sintofahamu je hii ni chuma ulete au kuna maarifa mengine yamefanyika mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…