utani ni kwa makabila ambayo ni wavivu kwasababu wana muda wa kutaniana
nadhani idea ya mwalimu
utani ni kwa makabila ambayo ni wavivu kwasababu wana muda wa kutaniana
ilikuwa njia ya kupunguza ukabila na uadui hasa kwa makabila yalopigana tanzania
nadhani idea ya mwalimu
japo siku hizi hauna mantiki tena
imebaki kusumbuana misibani na harusini