Rais alimuonya DAS mara 2 asiendelee kuchukua "Wake za watu" lakini hakusikia. Mwanakulifind Mwanakuliget. Kila siku uashona nguo sare na mke wa mtu???Muke ya mutu kubwa sana hiyo.Warning hapana jaribu la sivyo iko potea wewe.
Kwani kuna ubaya mtu na baby yake kusaresare maua?Hiki hawakushona wao tu bali kuna mtu mwingine wa tatu nyuma kule nae naona kavaa
Muulize yule kicheche aliyefukuzwa UDAS alitaka nini ndiyo ujue kuwa Magu ni fisimaji kwa vitoto! Eti anatongoza wake za watu! kwani Jokate ni wako nyambaafu unamharibie mtoto wa watu na uzee wako. Mke wa mtu umemzalisha wote tunakuangalia bado hujachoka umedukua hata simu za akina umi hutosheki? Rubbish nasty leader to have around for the century! Tabia zote ni za Idd Amin!!!!!!!!!
Ongeza nguo povu linatosha.Muulize yule kicheche aliyefukuzwa UDAS alitaka nini ndiyo ujue kuwa Magu ni fisimaji kwa vitoto! Eti anatongoza wake za watu! kwani Jokate ni wako nyambaafu unamharibie mtoto wa watu na uzee wako. Mke wa mtu umemzalisha wote tunakuangalia bado hujachoka umedukua hata simu za akina umi hutosheki? Rubbish nasty leader to have around for the century! Tabia zote ni za Idd Amin!!!!!!!!!
Duh...!, wabongo kwa masimango!. Kama mchumba hajatokea, unataka Jokate ajibebishe popote ili kuoelewa watu waone ameolewa?. Kwani kuwa kuolewa au kuwa ni mke wa mtu ni miongoni mwa sifa za uteuzi?. What has kuolewa got to do with uongozi?. Nikutajie majina ya wanawake 10 viongozi wa juu kabisa tena wengine hadi kuongoza mihimili na hawakuwahi kuolewa?.Kwako dada yetu jokate, napenda kukumbusha kuwa ni muda wako wa kuolewa sasa. Unafanya vyema sana kwenye uongozi wa kisiasa, kwann hili swala la ndoa limekuwa gumu kwako,.. Muda si mrefu waweza kuwa mkuu wa mkoa, haitaleta picha nzuri kwa maadili ya umma kama utabaki hivi kama ulivyo.
Kazi ni kwako sasa, kama unahitaji kuwa mtu wa kutumainiwa nchi hii kiuongozi, fanya assignment niliyokupa, mwaka huu, usichelewe sana, kama ni muda wa kuchagua ulishapewa toka 2017. Good lucky mdada mzuri View attachment 1744456
Ww mzee unajishushia heshima, tunajua ww ni fundi wa kugeuza maneno, tulia na uzee wako huo, angekuwa binti yako ungefurahiDuh...!, wabongo kwa masimango!. Kama mchumba hajatokea, unataka Jokate ajibebishe popote ili kuoelewa watu waone ameolewa?. Kwani kuwa kuolewa au kuwa ni mke wa mtu ni miongoni mwa sifa za uteuzi?. What has kuolewa got to do with uongozi?. Nikutajie majina ya wanawake 10 viongozi wa juu kabisa tena wengine hadi kuongoza mihimili na hawakuwahi kuolewa?.
Mwacheni Joketi kwenye maisha binafsi, tusimuingilie, akitokea mchumba Mungu aliyempangia, ataolewa, tusimlazimishe!.
P
Hujui ndio maana pace maker ilimaliza chaji yote! Jokate ni Muuaji for sure!! akamatwe haraka!Najaribu kutengeneza picha ya mzee baba kafikishwa Uhuru peak kule Kilimanjaro nashindwa kuipata naambulia miguno tuu.