IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
....Kwenye hilo jukwaa ulichoona wewe ni ngono na ufuska tuu? Huna la maana la kujadili na watanzania wenzako zaidi ya ufuska? Hiyo akili yako imejaa ufuska tuuu?Mkuu kwani hili ni jukwaa gan
....Kwenye hilo jukwaa ulichoona wewe ni ngono na ufuska tuu? Huna la maana la kujadili na watanzania wenzako zaidi ya ufuska? Hiyo akili yako imejaa ufuska tuuu?Mkuu kwani hili ni jukwaa gan
Fanya kazi hata ya kuendesha bodaboda hizi ndoto hazitokufikisha popote,ulizaliwa mwanaume komaa kuzisaka ukilala utajikuta unalaliwa watu wamepinda siku hizi.