Nilipe changu usepe

Teh teh hapo kwenye bluu umetisha mkuu:smile-big:
 
Watu mnajifanya hamuwajui hao machangu????
 

aisee hyo ni kweli kuna kipindi nilimkuta dada mmoja alikuwa changu alikuwa amekamatwa na polis yule dada nilikuwa namfaham nilimuuliza kwa kumsikitikia kuwa kwann anafanya biashara kama ile. Akaniambia mdogo wangu ww kaa kimya mm naingiza hela zaidi yako ww pamoja na shughul zako zote..... Akasema ninauwezo wa kulaza laki hadi laki na nusu kwa siku endapo sijiskii vbaya, akasema hebu piga hesabu kwa mwez sh ngapi napata?? Kwahyo ww hunishaur kwa lolote..
 
juzi nasikia soko moja la machangu limefungwa mbagala watu wakaandaman kwa nini soko limefungwa wakati ndo ilikuwa kipoozeo chao,ilikuwa ni buku mbili yako tu unaenda unasomba kaswende,pangusa na takataka zengine
 
Wengine hivyo hivyo kibiashara wanaangukia kwa mjanja mmoja, mjanja huyo kila akienda anapewa bure wewe mshanajr ukienda unachunwa/unapunwa mapene yako
 
Last edited by a moderator:
duh !!!! kuna maujuzi kibao kuhusu hawa jamaa...anyway will be coming later
 
ushawahi kununua huduma zao mshana jr?

Husninyo life has so much adventures n have so much to share i did it it b4 hapa nyumbani na ughaibuni pia but thats past i ve nothing to do with it! zimebaki story
 
Last edited by a moderator:
Wengine hivyo hivyo kibiashara wanaangukia kwa mjanja mmoja, mjanja huyo kila akienda anapewa bure wewe mshanajr ukienda unachunwa/unapunwa mapene yako

HARUFU sinunuagi K hata maramoja zaidi sana mi ndo huuziwa kwakuwa domo langu limejaaliwa kuchanganya silabi
 
Last edited by a moderator:
Husninyo life has so much adventures n have so much to share i did it it b4 hapa nyumbani na ughaibuni pia but thats past i ve nothing to do with it! zimebaki story

ahsante kwa kuwa muwazi, ungekataa ningeshangaa maana hii sredi umeiandika kihisia sana. loh
 
HARUFU sinunuagi K hata maramoja zaidi sana mi ndo huuziwa kwakuwa domo langu limejaaliwa kuchanganya silabi
Na huna mkono wa birika linapokuja swala la kutoa, nimekupata kiongozi wangu
 
ahsante kwa kuwa muwazi, ungekataa ningeshangaa maana hii sredi umeiandika kihisia sana. loh

Thats life! we share what we experienced before...! wakati uld wa maggot then Jolly Club, Kwamacheni, Sokota na Mwananyamala Kwa Wahaya, China Town Bagamoyo Rd, Igongwe Mwenge nk! those old days! ama kweli ndom zinasaidia
 

Uzembe wa serikali yako
 

kumbe ndio zaaakooo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…