Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,194
- 3,959
Maisha ya watu wanaishi ng'ambo ya shule ya msingi matossa baada ya kuvuka
Maporomoko ya maji wnaishi maisha ya kizamani imagine jiji km Dar watu hao wanaoshea vyombo mtoni, yaani vyombo vyote vinaushewa mtoni kweli?
Hio sehem huwa kunauvunaji wa mchanga kwaajili ya ujenzii ni sehemu chafu sana kuoshea vyombo maeneo hayo ni hatari kwa afya .
Wabeba mchanga wanajisaidia hovyo hayo maji watu wanatumia kupikia chakula hii hali ni mbaya hasa mtaa huo unaopatikana ukivuka shule kwa chini ni hatari
Maporomoko ya maji wnaishi maisha ya kizamani imagine jiji km Dar watu hao wanaoshea vyombo mtoni, yaani vyombo vyote vinaushewa mtoni kweli?
Hio sehem huwa kunauvunaji wa mchanga kwaajili ya ujenzii ni sehemu chafu sana kuoshea vyombo maeneo hayo ni hatari kwa afya .
Wabeba mchanga wanajisaidia hovyo hayo maji watu wanatumia kupikia chakula hii hali ni mbaya hasa mtaa huo unaopatikana ukivuka shule kwa chini ni hatari