Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,019
- 454,035
Haha natumaini atanishauri vyedi
Hahahaha ngoja ajeee
Haha natumaini atanishauri vyedi
Kwahiyo ni movie tu! Nikitaka kusikiliza amapiano nafanyaje jamani
Mkuu na mm na huo mkito aisee hapo walijipinda aiseKaka mim nina LG home theater watt 1000 naomna iko powa ina sound moja tam. Unaeza ichek madukan ukaiskia pia
Jitahidiii 😂Natamani kukutumia ka clip kanagoma usikilize kidogo
Inafutwaaaa ukichelewa 🤣🤣🤣Kwahiyo ni movie tu! Nikitaka kusikiliza amapiano nafanyaje jamani 😂
Niko LIVE 🤣🤣Inafutwaaaa ukichelewa 🤣🤣🤣
Ila hapa hamna attachementInafutwaaaa ukichelewa 🤣🤣🤣
🤣🤣Niko LIVE 🤣🤣
Ila hapa hamna attachement
Hiyo attachment ina tabia mbaya 😂😂Nikitaka kusend inagoma ngoja nijaribu ya mwisho
Ila hapa hamna attachement
Hiyo attachment ina tabia mbaya
Am in love with everything I heard & saw 😍 futaaaaNafuta
Am in love with everything I heard & sawa futaaaa
Ulichukua ndogo mno.Wakuu kifupi mimi ni music enthusiast, hivyo nazingatia sana quality ya muziki maana ndo burudani yangu kuu! Sasa ni muda mrefu nimetumia Sony zile radio za kizaman zenye cd 3, nimepata quality nzuri ya mziki kwa miaka.
Baada ya kuzingua/kufa, nikashawishika kuchukua soundbar maana kuna nyuzi nyingi zinazisifia humu, sasa baada ya kuichukua siku ya kwanza niliisifia kwamba inatwanga,ila kadiri siku zinavyoenda ikaanza kuniumbua, kifupi sijaridhika kabisa na sound yake!
Hebu nipeni recommendations za kueleweka, hata kama bei imesimama itabidi nijipange tu.
Asante!
Mdundo ni mkali 🔥🔥
Mdundo ni mkali