Nilimtongoza huyu mdada lakini nikaishia kumkimbia

Nilimtongoza huyu mdada lakini nikaishia kumkimbia

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,425
Katika pitapita zangu nlikutana na kabinti njiani, sikafahamu, wala hanifahamu, kamekomaa na kana sura mbaya, ila kilichonivutia kwake ni kuwa ana chura iliyochomoza, yenye shape nzuri, hlf ni kadogo dogo kimuonekano, kaliniambia kamemaliza form 4, sasa nlikapigisha sound kanipe namba ya simu coz alikuwa nayo anachat, akasema anaenda mahali kuchukua mzigo aliotumwa, hlf akiwa anarudi kwao atanipa namba.

Kwa vile mm si mgeni kwenye tasnia ya utongozaji, katika kupiga nae story kengele iligonga kichwani kwangu ikaniambia huyu binti huko atakoenda atanichoma Kwa watu..na kweli nimefika sehem alioenda, binti aliniambia nisubiri Kwa nje, nlisubiri nje ila nilijibana kifichoni kwenye kona, heeee alivotoka hakuniona nilisikia binti akisema "nilikuja na mtu hapa" nilitoka mbio kuliko usain bolt, nlivokua mita kadhaa mbele, ile kuangalia nyuma nikaona jimama linachungulia ile sehem nliokuepo,

Enyi wadada kama humtaki mtu, sema mapema, kuchomeana si ishu.
 
mkuu kuna cheti hukumaliza kwenye somo la kutafuta manzi na kutongoza, pole sana kwa kuchomeshwa mahindi ila hongera kwa kukwepa tope

Binti hakunichomesha mahindi, alivoingia ndani alitoka baada ya dakika moja

Previously Nshaendaga nyumbani Kwa mademu kama watatu, ila hayo matukio yalikuwa tofauti, hao wadada walikuwa wananipenda, hivyo mama zao walivoniona hawakuwa na noma..ingawa walijua kuwa mm nimewatongoza binti zao

Nina uhakika asilimia 99% kuwa nia ya yule binti haikuwa nzuri aisee, unadhani eti alifika kule hlf akasema amepata rafiki mzuri wa kiume, mtu aje amuone..nlivomwalika kwetu kesho, hlf akajitetea kwa kusema eti kesho anaenda arusha kwa dada yake, nkajua hapa sina demu, ndo baadae nikahisi na hivi amemaliza form 4, huko ntakoenda atanichomea ili niwekwe mtu kati hlf niende jela, ndo maana nkamkimbia google helper
 
Binti hakunichomesha mahindi, alivoingia ndani alitoka baada ya dakika moja

Previously Nshaendaga nyumbani Kwa mademu kama watatu, ila hayo matukio yalikuwa tofauti, hao wadada walikuwa wananipenda, hivyo mama zao walivoniona hawakuwa na noma..ingawa walijua kuwa mm nimewatongoza binti zao

Nina uhakika asilimia 99% kuwa nia ya yule binti haikuwa nzuri aisee, unadhani eti alifika kule hlf akasema amepata rafiki mzuri wa kiume, mtu aje amuone..nlivomwalika kwetu kesho, hlf akajitetea kwa kusema eti kesho anaenda arusha kwa dada yake, nkajua hapa sina demu, ndo baadae nikahisi na hivi amemaliza form 4, huko ntakoenda atanichomea ili niwekwe mtu kati hlf niende jela, ndo maana nkamkimbia google helper
Mkuu hongera kwa kushtuka boss kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulikuwa unapigishwa ya mkeka. Mandazi 10 chai themos moja upande wa maakuli unakua umeisha. Nguo kanzu ya mzee rajabu inaazimwa. Kwaiyoo unakua umeoa kwa jumla ya shs 1700.
 
Binti hakunichomesha mahindi, alivoingia ndani alitoka baada ya dakika moja

Previously Nshaendaga nyumbani Kwa mademu kama watatu, ila hayo matukio yalikuwa tofauti, hao wadada walikuwa wananipenda, hivyo mama zao walivoniona hawakuwa na noma..ingawa walijua kuwa mm nimewatongoza binti zao

Nina uhakika asilimia 99% kuwa nia ya yule binti haikuwa nzuri aisee, unadhani eti alifika kule hlf akasema amepata rafiki mzuri wa kiume, mtu aje amuone..nlivomwalika kwetu kesho, hlf akajitetea kwa kusema eti kesho anaenda arusha kwa dada yake, nkajua hapa sina demu, ndo baadae nikahisi na hivi amemaliza form 4, huko ntakoenda atanichomea ili niwekwe mtu kati hlf niende jela, ndo maana nkamkimbia google helper
Wewe bado mshamba.sasa unamfuuata mwanamke uliyemtongoza kwao ili iweje?
Huna pesa ya kumualika hata kwa mama ntilie tu?
 
Back
Top Bottom