Hakufikiria mbali alijua atafanya fasta ndo maana aliniita akajua nimelala ili amalize yake.Kwamba baba yako hana akili kiasi cha kuleta mchepuko nyumbani?
Kwamba baba yako ni mbahili kiasi kwamba ndani ana hela ya kutosha kununua laptop ila hela ya gesti hana?
Kwamba baba yako ni mshamba hajui gesti zilipo akaamua kuleta demu nyumbani?
Unamdhalilisha baba yako, hata kama hajui hii komedi uliyoandika.
Hahaha Angepiga chabo sijui angeona niniHukupiga chabo alafu ukawaona wakikurupuka, Dingi akachukua msuli na kuvaa?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣yaani nilisikia mgegedo nikaamua kabla ya kufika sebuleni full niangushe glass nione reaction.Hukupiga chabo alafu ukawaona wakikurupuka, Dingi akachukua msuli na kuvaa?