Nilikuwa Nakisubiri Kifurushi cha 900 Itapendeza!

Nilikuwa Nakisubiri Kifurushi cha 900 Itapendeza!

belak

Senior Member
Joined
Jul 23, 2016
Posts
179
Reaction score
377
Mitandao ya simu sijui wameshiba hela au vipi! Kauli ya Dr shika itapendeza! Nilitarajia kuikuta kwenye uzinduzi wa vifurushi vipya Vya vodacom, au tigo Halotel nk! Dr angepiga hela na mitandao ya simu halo kadhalika! Watu wa marketing mko wapi! At least sokabet wamejaribu! Imependeza!
 
We we ulivyoiona hii fursa ulitakiwa kuitumia sio kuwaelekeza wengine wapige pesa. Poa sio mbaya itapendeza pia.
 
We we ulivyoiona hii fursa ulitakiwa kuitumia sio kuwaelekeza wengine wapige pesa. Poa sio mbaya itapendeza pia.
Meneja wake kaniwahi nilitaka nikae front tupige hela na dr but kuna mtu tayari wanapiga noti na dr sio mbaya kila MTU na fursa
 
Back
Top Bottom