Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,604
- 6,611
- Thread starter
-
- #21
Kwahyo uliua duhHahaha... hiyo story ni kama mimi kabisa sema msala mimi bodaboda alikufa... ilibidi kesi achukue brother maana alikuwa na leseni.... ILA UTOTO SHIDA SANA.
Hehe asante kwa mrejeshoMnaona sasa stori ya ukweli inavyokuaga tifauti na yakutunga, Tunataka ukwel kama huu sasa huchoki kusoma hata kama ni ndefu.
Umenigusa Mimi kabisa mkuuFanya Mpango Umpe Zawadi Mzee, andaa kama M1 uende umpe Zawadi halafu umwambie huu Ukweli kuhusu huo mkasa. Halafu hitimisha stori kwa Kumwambia BABA UNAJUA KULEA. Wenzio tulikuwa tunapigwa kwa kuzembea Kifaranga wa Bata akatumbukia kwenye ndoo au dishi la maji afe. Au uzembee mwewe/kipanga akwapue kifaranga cha kuku mziki na bakora zake utahamia kwa bibi.
Au uchukue PHOENIX ya Mzee upige shimo SPOKU HATA 1 ivunjike utaomba pooo Bakora zake. Huwa nikimkumbusha Mzee ananambia nililenga kukujengea Umakini ndio maana leo wewe ni Wewe!
SEMBUSE GARI IGONGWE???
Ile kule ni ghahawa haiwezi kuisha hivihiviHii imeisha leo leo sio ka ile ya Baba Fety na jini wake kule MMU
ChaiNimeiba sana gari, niliacha nilipokoswa koswa na lori la mchanga njiapanda ya Afrikana kabla hizi double lane hazijakamilika
Tatizo la umasikini wa kwenu kila kitu waamini chaiChai
Maskini wewe jitu zima na story za kitoto hazina Maana grow up boya weweTatizo la umasikini wa kwenu kila kitu waamini chai
Dah pole mzeeDah, mimi niliiba baiskeli aina swala kwenda kijiji cha jirani,ile narudi dingi huyu hapa.. kabeba likuni kanitwisha kama mara tatu hivi nikapata upenyo, siku tatu nililala nje dadeki
mkuu weka link ya huo uziSawasawa mkuu, ule uzi huwa nikisoma visa vyake vinavuta hisia sana...
Hii ya kuiba magari, pikipiki, baiskeli za nyumbani wengi wamefanya, nishawahi soma pia Mange Kimambi akisimulia kisa kama hiki cha kuchukua ndinga home halafu matokeo yake ni kupata ajali...
Lingekufa jituFanya Mpango Umpe Zawadi Mzee, andaa kama M1 uende umpe Zawadi halafu umwambie huu Ukweli kuhusu huo mkasa. Halafu hitimisha stori kwa Kumwambia BABA UNAJUA KULEA. Wenzio tulikuwa tunapigwa kwa kuzembea Kifaranga wa Bata akatumbukia kwenye ndoo au dishi la maji afe. Au uzembee mwewe/kipanga akwapue kifaranga cha kuku mziki na bakora zake utahamia kwa bibi.
Au uchukue PHOENIX ya Mzee upige shimo SPOKU HATA 1 ivunjike utaomba pooo Bakora zake. Huwa nikimkumbusha Mzee ananambia nililenga kukujengea Umakini ndio maana leo wewe ni Wewe!
SEMBUSE GARI IGONGWE???
mkuu weka link ya huo uzi
Duh watoto wa kishuwa miaka ya 90 tuliwaibisha sana magari ya wazee wao
Ova
[/QUOTEMliwafanya niniDuh watoto wa kishuwa miaka ya 90 tuliwaibisha sana magari ya wazee wao
Ova