Niliiba gari nyumbani nikiwa form 2 nikala mzinga

Umenigusa Mimi kabisa mkuu
 
Dah, mimi niliiba baiskeli aina swala kwenda kijiji cha jirani,ile narudi dingi huyu hapa.. kabeba likuni kanitwisha kama mara tatu hivi nikapata upenyo, siku tatu nililala nje dadeki
Dah pole mzee
 
mkuu weka link ya huo uzi
 
Lingekufa jitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…