Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Mim ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa mwaka wa kwanza. Umri wangu ni miaka 29. Nataka kuomba mkopo wa Elimu ya juu; Je naweza kupata?
Nakushauri kabla ya kuomba jitafakari kwa kina ni njia zipi utatumia kurudisha huo mkopo. Zaidi ulizia ukipewa mkopo unatakiwa urudishe kiasi gani. Mimi pia nilisoma hapo hapo, mwanzo niliumia kukosa mkopo lakini baadae nilishukuru sana Mungu kwa kuniepusha na hilo jinamizi.Mim ni mwanafunz Wa Chuo kikuu cha Iringa mwaka Wa kwanza umri wangu ni miaka 29 nataka kuomba mkopo Wa Elimu ya juu je naweza kupata?