Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
nilikuwa young boy in the hood,siku moja nika kazwa sana usiku,nika-amsha big bro anipeleke choo lakini akasema zii....sasa nikajifanya okwonko nikafungua mlango usiku kitu saa saba hivi...lakini hio Giza ilikuwa noma na madoggy kuwika wika..nikajua ni ngori kuenda choo...idea ikacome kwa brain ni shonde kwa varanda doggy zitakula hio shonde(YANI MAVI YA MINE)....so nika toa toja nika shonde.and went back to bed....
morning naskia huko nje nani 'alikunia kwa varanda' nikajua plan imeback fire...mbwa haikula mavi ya mine....
nilichapwa na kuchukuwa hio mavi asbuhi kila mtu akiona....never again kunia kwa varanda
.
NEVER AGain poop kwa varanda
morning naskia huko nje nani 'alikunia kwa varanda' nikajua plan imeback fire...mbwa haikula mavi ya mine....
nilichapwa na kuchukuwa hio mavi asbuhi kila mtu akiona....never again kunia kwa varanda
NEVER AGain poop kwa varanda