wewe kwenye jamii hufai kitu kdgo hivyoo unashindwa kusamee mpka ulipitize kisasi mwache binti watu.
Ni dada ambaye tulikuwa tunasoma kidato kimoja shule moja mkoan Mbeya. Nilimpenda sana huyu dada ikabidi nmwelezee ukweli wa moyo wangu lakin yeye alinifanya mdori wa kuchezea. Kila nikimwita pemben na kumpiga sound alikuwa anasema tuongee usku kwenye sim . Sikujua kumbe ananiweka roudspika akiwa bwenini na wananisikiliza wenzake wote ninavyojikanyaga kidume. Nilikuja kushtuka mda wa kula tukiwadyning nikakuta wananicheka na kuniangalia mm aisee sku hyo sikula chakula kila napopita mabint wananicheka ni bint mmoja ndiye alikuja kuniambia kuwa kwann wananicheka. Iliniuma sana nilijuta kumtongoza yule dada. Ilikuwa mwezi jana tareh 20 nilikutana na yule dada tukiwa kwenye gari mm nilikuwa naenda Arusha nilimkuta ana mtoto tayar alinichangamkia sana nami nikamchangamkia akaniomba namba ya sim nam nikampa. Akaanza kuniulizia kuwa nimeshaoa? Mm nikakataa tangu sku hiyo anataka tuishi pamoja. Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hivi kazalishwa ananitaka ananifanya mm UNICEF. Sasa ameumia lazma nimtoe machoz na nimuabishe. Jana nmeshatuma posa kwao nataka nmjaze mimba na mm na nimfukuze na kumnyanyasa kama mbwa ili ajutie kunikurupukia wakat alinidhalilisha..
Kaka niamini nakwambia, utadhalilika wewe mwenyewe. Mpaka upeleke posa utakuwa umeshajidhalilisha tu. Achana na mpango huo. Unataka kumzalisha halafu umbwage, maana yake utakwenda pekupeku?hyo ni kwaajili ya kumtoa wasi wasi na adhalilishwe vizr.
Usisahau siku hizi sheria nyingi zinamfava mwanamke. Uwe tayari pia kunyofolewa kamshahara kako kutunza mwanao pamoja na mama yakepoa tu. Ila lazma alie na ajutie kwasababu atakuwa na watoto wawili nyumban
Kitendo cha kumkubali japo ni usanii, bado umekubali vitu usedsio kwamba siwez kusamehe ila kinacho nikera kwanini ajilete wakat amezalishwa? Inamaana mm ndio wa kuhudumia watoto wa watu? Au mm ndio nastahili kuishi na mwanamke used? Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hv amegalagazwa huko mpaka wamemtelekeza halafu ndio anakuja kwangu kwan mm ni jalala?
poa tu. Ila lazma alie na ajutie kwasababu atakuwa na watoto wawili nyumban
..jamaaa umeanza vizur ila hapo mwishoni umeharibu sasa...kumpa mimba afu umfukuze kuwa ndo utakuwa umemuumiza???me naamini hapo utakuwa umejiumiza wewe kwa 7bu atakuwa na damu yako) pili ni laana unajitafutia.....fikiria upyaNi dada ambaye tulikuwa tunasoma kidato kimoja shule moja mkoan Mbeya. Nilimpenda sana huyu dada ikabidi nmwelezee ukweli wa moyo wangu lakin yeye alinifanya mdori wa kuchezea. Kila nikimwita pemben na kumpiga sound alikuwa anasema tuongee usku kwenye sim . Sikujua kumbe ananiweka roudspika akiwa bwenini na wananisikiliza wenzake wote ninavyojikanyaga kidume. Nilikuja kushtuka mda wa kula tukiwadyning nikakuta wananicheka na kuniangalia mm aisee sku hyo sikula chakula kila napopita mabint wananicheka ni bint mmoja ndiye alikuja kuniambia kuwa kwann wananicheka. Iliniuma sana nilijuta kumtongoza yule dada. Ilikuwa mwezi jana tareh 20 nilikutana na yule dada tukiwa kwenye gari mm nilikuwa naenda Arusha nilimkuta ana mtoto tayar alinichangamkia sana nami nikamchangamkia akaniomba namba ya sim nam nikampa. Akaanza kuniulizia kuwa nimeshaoa? Mm nikakataa tangu sku hiyo anataka tuishi pamoja. Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hivi kazalishwa ananitaka ananifanya mm UNICEF. Sasa ameumia lazma nimtoe machoz na nimuabishe. Jana nmeshatuma posa kwao nataka nmjaze mimba na mm na nimfukuze na kumnyanyasa kama mbwa ili ajutie kunikurupukia wakat alinidhalilisha..
haahahha YAANI AKILI ZAKO ZA KIITOTO HAHAAHAHAHAHAHHAHAHAHAH KAMA NAKUONA VILE
looooh unachekesha maana huyo duu ana ku hunt maisha yako sana hahhahahah andbthe more utakapoa mfatilia the more atakuumiza
..jamaaa umeanza vizur ila hapo mwishoni umeharibu sasa...kumpa mimba afu umfukuze kuwa ndo utakuwa umemuumiza???me naamini hapo utakuwa umejiumiza wewe kwa 7bu atakuwa na damu yako) pili ni laana unajitafutia.....fikiria upya
sio kwamba siwez kusamehe ila kinacho nikera kwanini ajilete wakat amezalishwa? Inamaana mm ndio wa kuhudumia watoto wa watu? Au mm ndio nastahili kuishi na mwanamke used? Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hv amegalagazwa huko mpaka wamemtelekeza halafu ndio anakuja kwangu kwan mm ni jalala?
hyo ni kwaajili ya kumtoa wasi wasi na adhalilishwe vizr.